music mimi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 441
- 758
Nataka kujenga nyumba ya vyumba viwili vya kulala, sebule, public toilet/bafu, jiko dogo, katika hivyo vyumba viwili kimoja kiwe na choo/bafu ndani.
Kiwanja tayari ninacho 20 *20. Ninaplan kujenga nyumba ya kuanzia maisha maana kwa usawa huu nimeona nikikimbilia kujenga nyumba kubwa haitoisha na nitaendelea kupanga kwa muda mrefu. Nikishaamia kwenye nyumba yangu ndio nitaanza kujenga nyumba kubwa maana naamini uwanja utabaki wa kutosha.
Msaada wa makadirio jamani, naamini kuna watu wanauzoefu na ujenzi humu.
Kiwanja tayari ninacho 20 *20. Ninaplan kujenga nyumba ya kuanzia maisha maana kwa usawa huu nimeona nikikimbilia kujenga nyumba kubwa haitoisha na nitaendelea kupanga kwa muda mrefu. Nikishaamia kwenye nyumba yangu ndio nitaanza kujenga nyumba kubwa maana naamini uwanja utabaki wa kutosha.
Msaada wa makadirio jamani, naamini kuna watu wanauzoefu na ujenzi humu.