Bablemuba
Senior Member
- Jul 14, 2020
- 131
- 113
ichezeshe kidalipo mkuuCheck diff mounting bush zake zimekufa.
ichezeshe kidalipo mkuuCheck diff mounting bush zake zimekufa.
Kama gari ni four wheel au rear wheel drive bush za diff mounting zikifa ndiyo hutoa mlio kama huo.Check diff mounting bush zake zimekufa.
hahahhahaha.kaiyonaaaKama gari ni four wheel au rear wheel drive bush za diff mounting zikifa ndiyo hutoa mlio kama huo.
Ni Fwd bossKama gari ni four wheel au rear wheel drive bush za diff mounting zikifa ndiyo hutoa mlio kama huo.
Basi shida itakuwa gear box.Ni Fwd Boss
Gearbox oil na clutch zake ni za kuangalia!Habari
Gari inapokuwa kwenye mwendo nikaachia accelerator bila kufunga brake halafu nikikanyaga tena gari inastuka. tatizo ni nini. hali hyo haionekani ikiwa gari inaanzia kwenye kusimama.
Asante