FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,052
- 40,715
- Thread starter
- #41
Hiyo maana yake umebonyeza kile kitufe cha OVER DRIVE (O/D) na kukiweka kwenye OFF position, kibonyeze tena ili kikae kwenye ON position na hiyo warning light itaondoka, unless kuna tatizo lingine la umeme.Hivi Mkuu gari Ikiandika O/D OFF maana yake nini???