124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,802
- 5,493
Wakuu habari za mapumziko ya Eid.
Simu yangu S 5 inajizima na kujiwasha mara kwa mara hasa pale ninapoiwasha kwa mara ya mwanzo asubuhi kwanza zile apps ambazo ziko kwenye sd card zina grey out kwa muda mrefu then anaanza kujizima na kujirestart kwa muda au wakati mwingime inazima kabisa mapaka niiwashe tena.
Wajuzi Khalfan 56 ,Chief mkwawa na wengineo itifaki imezingatiwa naomba msaada wenu!
Natanguliza shukurani
Simu yangu S 5 inajizima na kujiwasha mara kwa mara hasa pale ninapoiwasha kwa mara ya mwanzo asubuhi kwanza zile apps ambazo ziko kwenye sd card zina grey out kwa muda mrefu then anaanza kujizima na kujirestart kwa muda au wakati mwingime inazima kabisa mapaka niiwashe tena.
Wajuzi Khalfan 56 ,Chief mkwawa na wengineo itifaki imezingatiwa naomba msaada wenu!
Natanguliza shukurani