Habari wakuu, nina simu yangu ya iphone6 betri yake haikai chaji yaani imefikia hatua nikitaka kutumia mpaka nikae nayo kwenye socket.
Mbaya zaidi sasahivi betri imevimba ndani na kusababisha kioo kuachana na motherbody ila inawaka na inafanyakazi kama kawaida tatizo haikai chaji na imefumuka sababu ya kuvimba kwa betri ndani.
Kwa mwenye utaalamu au kumjua fundi naomba anisaidie kunielekeza pamoja na gharama zake.
Naomba kuwasilisha.
Wakuchomoa jeHabari wakuu, nina simu yangu ya iphone6 betri yake haikai chaji yaani imefikia hatua nikitaka kutumia mpaka nikae nayo kwenye socket.
Mbaya zaidi sasahivi betri imevimba ndani na kusababisha kioo kuachana na motherbody ila inawaka na inafanyakazi kama kawaida tatizo haikai chaji na imefumuka sababu ya kuvimba kwa betri ndani.
Kwa mwenye utaalamu au kumjua fundi naomba anisaidie kunielekeza pamoja na gharama zake.
Naomba kuwasilisha.
Nipo kigamboni mkuu
Battery yake og ni kuanzia45 pia zipo za 25..
Upo wapi mkuu