Nyani Mzungu
Member
- May 29, 2020
- 45
- 58
Wadau nataka kuanza biashara ya samaki nahitaji freezer kubwa itakayonisaidia.
Hakuna freezer la laki 7 au 6 nzuriUnahitaji kupata Show case freezer. Yapo kariakoo Uhuru road kama unaenda mnazi mmoja. Bei ni 1M +
Tuma picha humu, unaweza kupata wateja wengine piaNinayo singsung kubwa nilinunus mpya kabisa kwa sasa ipo jikoni sina kazi nayo natumia tu fridge sababu hali imebana ntakuuzia kwa bei rafiki kwa sababu ni kubwa itakufaa kwa biashara yako pia ina mbao za chini za guard nitumie namba yako nikutumie picha kwenye whatsapp
Uapatikana wapNinayo singsung kubwa nilinunus mpya kabisa kwa sasa ipo jikoni sina kazi nayo natumia tu fridge sababu hali imebana ntakuuzia kwa bei rafiki kwa sababu ni kubwa itakufaa kwa biashara yako pia ina mbao za chini za guard nitumie namba yako nikutumie picha kwenye whatsapp
Upo wapi Kwanza maana unaweza kuwa Mbali usafiri ikawa shidaNinayo singsung kubwa nilinunus mpya kabisa kwa sasa ipo jikoni sina kazi nayo natumia tu fridge sababu hali imebana ntakuuzia kwa bei rafiki kwa sababu ni kubwa itakufaa kwa biashara yako pia ina mbao za chini za guard nitumie namba yako nikutumie picha kwenye whatsapp
Ninayo singsung kubwa nilinunus mpya kabisa kwa sasa ipo jikoni sina kazi nayo natumia tu fridge sababu hali imebana ntakuuzia kwa bei rafiki kwa sababu ni kubwa itakufaa kwa biashara yako pia ina mbao za chini za guard nitumie namba yako nikutumie
Mkuu picha basiNinayo singsung kubwa nilinunus mpya kabisa kwa sasa ipo jikoni sina kazi nayo natumia tu fridge sababu hali imebana ntakuuzia kwa bei rafiki kwa sababu ni kubwa itakufaa kwa biashara yako pia ina mbao za chini za guard nitumie namba yako nikutumie picha kwenye whatsapp