ProBook
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 558
- 257
Wakuu poleni na Kazi,
kwa wataaalamu wa biashara hapa, kama wote tunavyojua kuwa football betting ni biashara za watu wengine na wanapata faida nyingi sana kwa kupia biashara hiyo, ukipita mitaani sasa hivi sehemu nyingi sana wanajuhusisha na kubetisha watu na watu wanabet sana, mimi naomba msaada hapa wa kuuliza mambo machache..
1)Je huwa ina faida wa watu wanaobet au kila siku ni ela inaenda na hakuna kushinda hela yoyote?
2)Mbinu sahihi za kubet ni zipi?
3)Ni njia nzuri ya kujipatia kipato kwa mtu wa maisha ya kawaida..?
Asanteni!
kwa wataaalamu wa biashara hapa, kama wote tunavyojua kuwa football betting ni biashara za watu wengine na wanapata faida nyingi sana kwa kupia biashara hiyo, ukipita mitaani sasa hivi sehemu nyingi sana wanajuhusisha na kubetisha watu na watu wanabet sana, mimi naomba msaada hapa wa kuuliza mambo machache..
1)Je huwa ina faida wa watu wanaobet au kila siku ni ela inaenda na hakuna kushinda hela yoyote?
2)Mbinu sahihi za kubet ni zipi?
3)Ni njia nzuri ya kujipatia kipato kwa mtu wa maisha ya kawaida..?
Asanteni!