kwenye hii version ya fifa wame assume kwamba kila mtu anatumia gamepad kwaio settings zao za keybord wameziset into default. any ideas ku assign keys zako mwenyewe?
unaweza kuchange mkuu..kama unatumia CD/DVD launch game kutokea hapo(kama umeinstall na unacheza bila kutumia CD basi fungua mahali ulipoinstall game tafuta folder limeandikwa support then ndani yake kuna file imeandikwa configuration (ni application file) ) ukifungua hii file itafunguka window imeandikwa Play, Game settings na exit..sasa hapo fungua game settings utaona sehemu ya keyboard configuration...tatizo hapa ni kwamba itabidi ujue hiyo settings kwenye pad inafanya kazi gani ndo u set hapa maana hawakuandika kama kwenye game zingine kama shoot, tackle sijui ila wametumia mapping za game pad..mfano unakuta X ya kwenye pad unaweza ku set button kwenye keboard ila sasa inakubidi ujue hiyo X kwenye pad inafanya kazi gani...! its a bit complicated but thats the only way!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.