Brevis ishakuwa write-off hio...huyo mtu alipona kweli?
Muhimu Chassis iwe nzima, ila itakucost mkuu. insta kuna jamaa anaitwa ommypainter, naona jamaa yuko vizuri mazombie mengi anayarudisha na huyajui
INAWEZA kunikosti kama sh ngapi vileMuhimu Chassis iwe nzima, ila itakucost mkuu. insta kuna jamaa anaitwa ommypainter, naona jamaa yuko vizuri mazombie mengi anayarudisha na huyajui
Ndiyo in brevisni Brevis hiyo au?
Hakuna aliyepata hata mchubukoBrevis ishakuwa write-off hio...huyo mtu alipona kweli?
Ommypainter wapo magomeni makanya namba zao 0714 608 400. wengine ni Zurich Automech wapo Tabata changombe namba zao ni 0718 858 301 watumie picha ongea nao. siku njema
shaka tairi ili burst hapo.Hakuna aliyepata hata mchubuko
bila
shaka tairi ili burst hapo.
sasa mlipotezaje muelekeo chief au kilevi?Hapana tairi haikubast
Nitakudanganya bure mkuu, heri ungemcheki uyo jamaa ommypainter kwenye insta akakupa estimateInaw
INAWEZA kunikosti kama sh ngapi vile
Hio gari imeua sehemu ambazo kubandika panel ingine ni ngumu hasa huko nyuma sio rahisi kurudi. Watanyoosha ila anaejua akiangalia tu ataona gari iligongwa imenyooshwa. Ni rahisi kama ingegongwa milangoni,bonnet,booty etc vitu ambavyo unaweza kubadili, ingawa wapo watu wanaokata na kuunga ila sishauri. Hio ni write-off material.Gari ilipata ajari, engine inawaka kama kawaida, hub ya nyuma kushoto imeng'oka na bodi ndiyo kama hivyo. Zipo gereji wanaweza kulirudisha gari kwenye muonekano wake wa awali? MSAADA tafadhari, ikiwezekana na gharama sake.