Masterproud
JF-Expert Member
- Sep 14, 2012
- 440
- 115
Habari wandugu. Nimenunua Dish na king'amuzi cha Dstv na ninatumia kwa wiki sasa. Lakini kuanzia jana, remote yangu ghafra tu ikawa haifanyi kazi. Yaani ukibonnyeza key yyt inawaka taa tu na haioneshi response yyt kwenye recever mf. kuongeza sauti au kubadiri channel. Betri ni mpya kabisa. Nakosa raha kila wakati natakiwa kubonyeza decoda naona ni kero. Pls kwa anayejua namna ya kusolve hii shida anisaidie. Natanguliza shukrani.