Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Wakuu mwaka 2011-2013 nilikuwa na blog website kubwa sana,ambayo ilipata watembeleaji wengi sana kila siku
Ilikuwa inahusu marafiki/wachumba
Muziki,habari,udaku na vichekesho..
Kiukweli hata kwenye search ingine ikikuwa katika top results
Sasa nikanunua domain.name kupitia maddogs domain kwa miak 2 hivi
Baada ya hapo sikuilipia tena kutokana na ubize na changamoto mbalimbali
Juz nikapata wazo niirenew tena
Dah nakuta inauzwa tena mil 6 na ushee hivi..
Na wamebadilisha mpaka umiliki (ukienda kuangalia pale kwenye WHOIS)
Sasa bahati mbaya details za akaunti yangu ya maddog domains inanigomea(nahisi kama imefutwa hivi)
Je nafanyaje kuigomboa kwani ni mimi ndio nimeifanya kuwa juu hivyo coz ni muasisi wake...
Na je ikiuzwa na mimi nitaambulia chochote? Tangu nimeacha kuilipia mimi haijawahi kutumika na mwingine tena..
Naombeni ushauri..nafanyaje
Blog yangu ni nasmiletz.blogspot.com
Na domain niliyoilink nayo ni www.nasmiletz.com
Kwa wale wadau wa 2012 -2013 mtakuwa mnaikumbuka kwani baadhi ya habari zake nilikuwa nazishea humu.. au hata ukienda google utaona jinsi ilivyo famous
Ilikuwa inahusu marafiki/wachumba
Muziki,habari,udaku na vichekesho..
Kiukweli hata kwenye search ingine ikikuwa katika top results
Sasa nikanunua domain.name kupitia maddogs domain kwa miak 2 hivi
Baada ya hapo sikuilipia tena kutokana na ubize na changamoto mbalimbali
Juz nikapata wazo niirenew tena
Dah nakuta inauzwa tena mil 6 na ushee hivi..
Na wamebadilisha mpaka umiliki (ukienda kuangalia pale kwenye WHOIS)
Sasa bahati mbaya details za akaunti yangu ya maddog domains inanigomea(nahisi kama imefutwa hivi)
Je nafanyaje kuigomboa kwani ni mimi ndio nimeifanya kuwa juu hivyo coz ni muasisi wake...
Na je ikiuzwa na mimi nitaambulia chochote? Tangu nimeacha kuilipia mimi haijawahi kutumika na mwingine tena..
Naombeni ushauri..nafanyaje
Blog yangu ni nasmiletz.blogspot.com
Na domain niliyoilink nayo ni www.nasmiletz.com
Kwa wale wadau wa 2012 -2013 mtakuwa mnaikumbuka kwani baadhi ya habari zake nilikuwa nazishea humu.. au hata ukienda google utaona jinsi ilivyo famous