Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
madokta kweli hii dawa inafanya kazi sawa na tatizo nililo nalo
nilikunywa kidonge kimoja Usiku wa kuamkia leo
kwakweli mabadiliko nayaona , maumivu yameondoka kwa hali fulani
nazani ndani ya wiki moja nitaendelea kuwa kamili kama SALENDA BRIDGE
haya maumivu yanatesa sana, nakuwa kama mzee maana viungo vyote vinakuwa vimekaza na kukosa nguvu
sasa madokta nataka dawa za kuongeza homoni za testosterone
nisaidieni madokta wangu, miti shamba imegonga mwamba
mkuu ulipona na neuroton?
naona nna tatizo kama lako