Bee hive
Senior Member
- Feb 22, 2012
- 146
- 54
Wana jf kwa yeyote mwenye uelewa kuhusu dawa ya kupulizia shambani kuua magugu naomba anijuze. Ni dawa aina gani inafaa kutumika (kwenye shamba linalotarajiwa kupandwa legumes), kiwango cha uchanganyaji na maji ni kiasi gani na inapatikana wapi, nipo Arusha.
Natanguliza shukurani kwa msaada ntakao upata.
Natanguliza shukurani kwa msaada ntakao upata.