Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 617
Habari zenu wakuu.
Naomba msaada nasumbuliwa na uvimbe(jipu) sehemu za makalio, nitumie dawa gani Lipone?
Iwe ya kienyeji au ya kizungu maana linauma mno likiguswa tu.
Naomba msaada nasumbuliwa na uvimbe(jipu) sehemu za makalio, nitumie dawa gani Lipone?
Iwe ya kienyeji au ya kizungu maana linauma mno likiguswa tu.