hao ndio wadudu gani? sijawai kuwaona nawasoma tu umu
Ha ha ha ha ha ha.....dawa ninaijua.....mimi nilikuwa nao kama nzi msimu wa maembe.NTARUDI KUMWAGA Uhondo.amini kwamba tatizo limekwisha
Sawa boss ujumbe umefikaAcha uchafu kuwa msafi ndio dawa madhubuti,
hakikisha nyumba inakuwa safi na haina makorokoro umezidi uchafu,loh