Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,266
Hao wadudu kiukweli wanazuilika na hata kama utafanya fumigation kama hutobadili mfumo wa maisha lazima watarudi tu kwani chawa, kunguni, mende na buibui upatikanaji wao kwenye nyumba kama sio uchafu basi nyumba inakuwa ina makorokoro mengi. Dawa hapa ni kujifunza kununua vitu kutokana na uwezo wa nyumba unayoishi maana nyumba zetu wakati mwingine unakuta mpaka kiroba cha unga na mchele kinakuwa uvunguni mwa kitanda na vingine vinakuwepo master b/room.
Piga ukuta rangi inayoonekana na epuka mavitu mengi ndani ya nyumba hutoona mdudu yoyote ndani ya nyumba maana na wao wana akili kama sie wanajua wapi pa kukaa, mfano mzuri kama nyumba ina tiles au rangi alafu chini umepiga skating (spelling problem) rangi nyeusi chini mtu akideki tu utaona kuna vijidudu vimejificha kwenye rangi nyeusi which means wanajua pale huwezi kuwaona
una akili japo hujanizidi mimi