Mfahamu mdudu kunguni (bedbugs) na jinsi ya kumuangamiza

Ndugu zangu, tunaangamizwa na kunguni hatulali, hatuwakaribishi wageni kwa sababu ya kunguni. Tumefikia hatua ya kutaka kujenga nyumba mpya kwa sababu ya KUNGUNI,mtusaidie namna ya kuwatokomeza!
 
Ndugu zangu, tunaangamizwa na kunguni hatulali, hatuwakaribishi wageni kwa sababu ya kunguni. Tumefikia hatua ya kutaka kujenga nyumba mpya kwa sababu ya KUNGUNI,mtusaidie namna ya kuwatokomeza!
Makaura
===>Kunguni,chawa,viroboto na funza ni dalili za uchafu,jifunze kuwa msafi
===>Unalalamika ila hujasema ni wapi?
 
Last edited by a moderator:
wewe hujawah kumdhulum mtu ndipo ukajenga nyumba hiyo unayoish?? ama je haukuiba?? (no offense intended) kama hapana basi jua hizo ni roho chafu na ni roho kamili ziko ndani mwako. chakufanya chukua maji ya baraka kwa imani kabisa ukiamni kwamba ni damu ya yesu omba maombi ya kuifanya hiyo nyumba iwe wakfu, na kemea hizo roho za ibilisi humo ndani. itakase nyumba yako kwa damu ya Yesu yaani hayo maji ya baraka nyunyiza humo ndani kote na kwenye kila kitu kisha mwambie roho mtakatifu ashuke na moto wake achome kila roho ya adui.

hizi ni roho za malipizi na huwaga watu wengi hawajui haya, utakuta mtu akiona sisimizi kwake anaona ni kawaida tu ama akiona mjusi kumbe ni roho kamili zinakuandama. pole sana ndug
 
wewe hujawah kumdhulum mtu ndipo ukajenga nyumba hiyo unayoish?? ama je haukuiba?? (no offense intended) kama hapana basi jua hizo ni roho chafu na ni roho kamili ziko ndani mwako. chakufanya chukua maji ya baraka kwa imani kabisa ukiamni kwamba ni damu ya yesu omba maombi ya kuifanya hiyo nyumba iwe wakfu, na kemea hizo roho za ibilisi humo ndani. itakase nyumba yako kwa damu ya Yesu yaani hayo maji ya baraka nyunyiza humo ndani kote na kwenye kila kitu kisha mwambie roho mtakatifu ashuke na moto wake achome kila roho ya adui.

hizi ni roho za malipizi na huwaga watu wengi hawajui haya, utakuta mtu akiona sisimizi kwake anaona ni kawaida tu ama akiona mjusi kumbe ni roho kamili zinakuandama. pole sana ndug
bu nao ni ibilisi au neema?
 
bu nao ni ibilisi au neema?

wadudu wowote ndani mwako wakizidi hadi kuleta udhia na kuwanyima amani ndani basi jua ni roho kamili na yakupasa kuikemea kwa jina la Yesu. awe ni inzi ama mbu ama sisimizi ama panya ama mende chawa papasi kunguni viroboto utitiri nk
 
wewe hujawah kumdhulum mtu ndipo ukajenga nyumba hiyo unayoish?? ama je haukuiba?? (no offense intended) kama hapana basi jua hizo ni roho chafu na ni roho kamili ziko ndani mwako. chakufanya chukua maji ya baraka kwa imani kabisa ukiamni kwamba ni damu ya yesu omba maombi ya kuifanya hiyo nyumba iwe wakfu, na kemea hizo roho za ibilisi humo ndani. itakase nyumba yako kwa damu ya Yesu yaani hayo maji ya baraka nyunyiza humo ndani kote na kwenye kila kitu kisha mwambie roho mtakatifu ashuke na moto wake achome kila roho ya adui.

hizi ni roho za malipizi na huwaga watu wengi hawajui haya, utakuta mtu akiona sisimizi kwake anaona ni kawaida tu ama akiona mjusi kumbe ni roho kamili zinakuandama. pole sana ndug

gfsonwin vipi kuhusu Mbu, Nzi na Mende, hao wadudu wamejaa majumbani mwetu, sasa nao ni 'laana' au 'baraka'?

Maana kiafya mpaka sasa bado sijajua kama sisimizi na Mjusi kama wanaambukiza magonjwa yoyote mbali ya kuwa ni bughudha tu, zaidi wataalamu wanasema sisimizi hula mizoga ya wadudu na mabaki ya chakula na Mijusi hula wadudu wanaoruka au kitambaa ndani ya nyumba hivyo ni viumbe muhimu ndani ya nyumba au baraka!!
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin vipi kuhusu Mbu, Nzi na Mende, hao wadudu wamejaa majumbani mwetu, sasa nao ni 'laana' au 'baraka'?

Maana kiafya mpaka sasa bado sijajua kama sisimizi na Mjusi kama wanaambukiza magonjwa yoyote mbali ya kuwa ni bughudha tu, zaidi wataalamu wanasema sisimizi hula mizoga ya wadudu na mabaki ya chakula na Mijusi hula wadudu wanaoruka au kitambaa ndani ya nyumba hivyo ni viumbe muhimu ndani ya nyumba au baraka!!

soma bandiko langu #12 , utanielewa na mamabo haya huwez kuyajua kwa namna ya mwilini bali yanajulikana kwa namna ya rohoni
 
wadudu wowote ndani mwako wakizidi hadi kuleta udhia na kuwanyima amani ndani basi jua ni roho kamili na yakupasa kuikemea kwa jina la Yesu. awe ni inzi ama mbu ama sisimizi ama panya ama mende chawa papasi kunguni viroboto utitiri nk
Mkuu hapo kwenye red umeniacha kidogo. Naomba ufafanuzi wa kina kidogo.
 
Wakizidi utakuwa mpole tu. Hiyo kitu japo asili yake kweli ni uchafu lakini wakeshazidi inakuwa janga. Fumigation inaweza saidia kupunhuza do it.

Hao wadudu kiukweli wanazuilika na hata kama utafanya fumigation kama hutobadili mfumo wa maisha lazima watarudi tu kwani chawa, kunguni, mende na buibui upatikanaji wao kwenye nyumba kama sio uchafu basi nyumba inakuwa ina makorokoro mengi. Dawa hapa ni kujifunza kununua vitu kutokana na uwezo wa nyumba unayoishi maana nyumba zetu wakati mwingine unakuta mpaka kiroba cha unga na mchele kinakuwa uvunguni mwa kitanda na vingine vinakuwepo master b/room.

Piga ukuta rangi inayoonekana na epuka mavitu mengi ndani ya nyumba hutoona mdudu yoyote ndani ya nyumba maana na wao wana akili kama sie wanajua wapi pa kukaa, mfano mzuri kama nyumba ina tiles au rangi alafu chini umepiga skating (spelling problem) rangi nyeusi chini mtu akideki tu utaona kuna vijidudu vimejificha kwenye rangi nyeusi which means wanajua pale huwezi kuwaona
 
gfsonwin vipi kuhusu Mbu, Nzi na Mende, hao wadudu wamejaa majumbani mwetu, sasa nao ni 'laana' au 'baraka'?

Maana kiafya mpaka sasa bado sijajua kama sisimizi na Mjusi kama wanaambukiza magonjwa yoyote mbali ya kuwa ni bughudha tu, zaidi wataalamu wanasema sisimizi hula mizoga ya wadudu na mabaki ya chakula na Mijusi hula wadudu wanaoruka au kitambaa ndani ya nyumba hivyo ni viumbe muhimu ndani ya nyumba au baraka!!

Mwisho wa siku wanaacha kinyesi chao ndani ya nyumba ambacho hakiliwi na mdudu wowote au kama kinaliwa basi namba ya sisimizi itaongezeka, kikubwa ni kujenga mechanism ya wadudu wa namna hiyo wasionekane kwa kupunguza makorokoro, kiukweli mie nimeweza japo kwenye mbu na vile vimjusi vidogo imekuwa tabu kidogo lazima wawili ndani ya nyumba wataonekana but mende, kunguni na chawa ni rahisi mno ku-deal nao kwa kupunguza makorokoro tu
 
Mkuu hapo kwenye red umeniacha kidogo. Naomba ufafanuzi wa kina kidogo.

Nenda kwenye duka la dawa za mifugo nunua dawa inaitwa nuvan mls 100. Sawa na ujazo wa chupa ndogo ya dawa ya kikohozi.ujazo huo changanya na maji lita kama tano tumia fagio kama huna pump ya kunyunyizia .nyunyiza nyumba nzima,kabati ,mabegi,vitanda.funga nyumba masaa kama matano hivi.kumbuka dawa ni sumu kali andaa maji ya kunawa vizuri baada ya kazi vyombo vya kulia aina yote ya chakula weka nje! Utanambia kama kuna kiumbe kitasimama
 
wewe hujawah kumdhulum mtu ndipo ukajenga nyumba hiyo unayoish?? ama je haukuiba?? (no offense intended) kama hapana basi jua hizo ni roho chafu na ni roho kamili ziko ndani mwako. chakufanya chukua maji ya baraka kwa imani kabisa ukiamni kwamba ni damu ya yesu omba maombi ya kuifanya hiyo nyumba iwe wakfu, na kemea hizo roho za ibilisi humo ndani. itakase nyumba yako kwa damu ya Yesu yaani hayo maji ya baraka nyunyiza humo ndani kote na kwenye kila kitu kisha mwambie roho mtakatifu ashuke na moto wake achome kila roho ya adui.

hizi ni roho za malipizi na huwaga watu wengi hawajui haya, utakuta mtu akiona sisimizi kwake anaona ni kawaida tu ama akiona mjusi kumbe ni roho kamili zinakuandama. pole sana ndug

Duh! this is the highest level of superstition belief i have ever seen, yani ukiona mjusi ni roho zinaandama mtu! Umetisha aisee, unajuaje kama hawa watu wachafu? Come on, em don't be too superstitious unless una uzoefu wa kujigeuza mjusi au sisimizi..
 
Back
Top Bottom