Mfahamu mdudu kunguni (bedbugs) na jinsi ya kumuangamiza

Hawa wadudu jaman noma mimi wamenisumbua mi nilikuwa napga mpaka deki na nnatabia natoa chaga za kitanda na gdoro kila J2 ambayo huwa nipo getto na wala skuwahi kuwaona mchana lkn niliwa na vichunus vimoja moja mgongon na taa usiku nilikuwa nazima bwana ngoma saa nane nane ndo wanatokaga nikamkamata mmoja
ndo nikagundua

Kaka hawa wadudu sio wa uchafu kivile saana kama chawa na papasi kama ndan kwako uliruhusu tu mende wengi huo mzigo ni wako mzee wanafuatana sana na mende nawachukia kwa roho yote

Nimetumia spray zote mrizotaja hapo lakin hamna kitu mdudu anaroho ya paka
me nimewamaliza kwa dawa moja hivi inaitwa BOSS ninda kwenye maduka wanayouza sumu za wadudu kilimo i mean pembejeo hiyo dawa ukichanganya na maji tu inakuwa rangi ya maziwa dk 10 unakuta maiti za mende na kunguni na wenzie
 
Mkuu kwanza Toa kitanda na chandarua nje ya nyumba.FUA Chandaru kwa maji ya Moto Sanaaa Ili kuwaangamiza.PIA MWAGIA CHAGA NA MIF UMBATI YA KITANDA MAJI YA MOTO..UKIMALIZA NUNUA DAWA ZILE ZA KUNGUNI WANAZOTEMBEZA USWAHILINI piga kona zote za chumba na kitana.UKIRUDIA ZOEZI KWA MARA 2 HADI 3 UTAKUWA UMEFANIKIWA MIA KWA MIA
 
Hata kijijini hakuna banaa! Kunguni na chawa ni uchafu tu!
Jamaa atakuwa ana makorokoro kama garage bubu!
Ni wazi kabisa Erickb52 hawa wadudu walishatokomea hasa mijini....Hii si dalili nzuri ..ngoja nisiendelee....
 
Last edited by a moderator:
Hehehe! Utakuja na shemeji kuniokoa aisee!
Ila ukimuuliza huyu mara ya mwisho kudeki uvunguni mwa kitanda chake ni lini utastaajabu! Afu utakuta viatu vilivyochakaa anatupa uvunguni. Makoro kibao!
We King'asti,
ngoja wenyewe waje.
 
Last edited by a moderator:
Kwi kwi kwi!
Ila makorokoro mengi yanafanya hata wakiwepo wadudu usiwaone banaa! Sijui kwa nini naamini nyumba ikiwa na mwanga natural wa kutosha, safi na yenye hewa unatatua matatizo mengi sana.
.
BAGAH & Erickb52 + Zuia Sayayi

Cleanliness (
Usafi) is not really the cause for bed bug (Kunguni) infestation
. There is no specific cause for its origination.

They move from one place to another through clothing, baggage, old furniture, mattress and other items. Bed bugs infest where there is maximum human occupation. Even the clean hotels have the population of bed bugs. These insects survive on animals and birds as well
bedbugs_biting-300x206.jpg


Bedbug-Rash-Cure-2-300x228.jpg


Bed-Bug-Bites-on-Back-300x224.jpg


These Bed bugs are human parasites. They live on human blood. They have a very good strategy to suck the blood. You never feel pain when it is sucking ,you feel a red blood mark and pain after it leaves off.


The recent studies say that these bedbugs are good carriers of leprosy, oriental sore, Q-fever, and brucellosis(Krueger 2000) .

So one should be careful , detect them and get rid of them in earlier stages. Always approach pest control experts for permanent solution for bed bugs.​
 
Jamani kunguni wamekuwa tishio nyumbani kwa miaka 10 sasa, nimetumia dawa nyingi za poda (sevin dudu dust, aerial powder), diazoni, ngao, kuchemsha maji, povu la sabuni, rungu spray na chaki ya kuchora lakini wapi!

Hivyo wanajamvi kwa yeyote anayeweza kunishauri (dawa) nini cha kufanya naomba sana msaada wenu binadamu wenzangu. Asanteni!
 
Dawa ya kwanza ni usafi, kama kipengele cha usafi hakijazingatiwa itachukua mda kupata muafaka.
 
Kwan upo mkoa gani mkuu?
Hawa wadudu siwapendi katka maisha acha tu! Na hawa wadudu wanatabia moja unaweza kuwa unang'atwa kila siku lkn usiwajue labda uwe na usingiz wa juujuu tu yaan uking'atwa ndo ushituke uwashe taa gafla ndo utawaona wanavyo toka nduki!

hii pia ni kwa wale ambao hamna kungun kwao kuna vimende vidogo dogo vinapenda giza sana na huwa vinapenda sana maeneo ya kabati la vyombo, jikon jikon na ktk vyombo tena kukiwa giza, ukiwasha taa au kufungua mlango wanasambaa kurudi viti,makoch, kabatin na kwenye mbao za kitanda! Ilishawi tokea wife kaenda sehem wenyej ni smart na masista duu mbaya lkn hawan time na vitanda sijui walikuwa ni walalafi usiku wanang'atwa hawajielewi sjui? Ndo kuanza kuwasaidia!!

tuachane na hayo Mimi yameshawah kunikuta kiukweli nilitumia dawa nyingi sana baada kuwashtukia kuwa ndo wao wananipa vipele vimoja vimoja mgongon mi nikijua ni chunusi hapa nshang'atwa kama miez 6 hivi!!
Nenda ktk duka la dawa za mifugo,mimea au kilimo hasa duka la kilimo
nunua dawa moja inaitwa DEEP inanuka/nukia sana af pia ni sumu hata kwa binadamu, then utanunua hand sprayer Mf. Wake ni pale baada ya kunyoa saloon/babershop huwa tunapuliziwa maji fulan ya sabun.

Utachanganya maji lita 1:kifuniko 1 cha chupa ya dawa
hii dawa rangi yake kama maji lkn ina unjano kwa mbaali
ukiichanganya na maji tu inageka kuwa kama maziwa yaan nyeupe pee!
Hapo mkuu ukipuliza hata mbu akijipendekeza unamkuta chini
mimi kazi ilifanyika siku moja tu na mpaka nakuja kuoa mwaka jana sijawahi kuona hata mende ndani kwangu!!!

tumia hii dawa Mkuu utaleta feedback tu! Basi wamekulogelezea hao wadudu!!
 
Sjui kama nimeeleweka hapo juu maana natumia simu huku tunatoa huduma!!
Fingeboy
 
Last edited by a moderator:
Kwan upo mkoa gani mkuu?
Hawa wadudu siwapendi katka maisha acha tu! Na hawa wadudu wanatabia moja unaweza kuwa unang'atwa kila siku lkn usiwajue labda uwe na usingiz wa juujuu tu yaan uking'atwa ndo ushituke uwashe taa gafla ndo utawaona wanavyo toka nduki!
hii pia ni kwa wale ambao hamna kungun kwao kuna vimende vidogo dogo vinapenda giza sana na huwa vinapenda sana maeneo ya kabati la vyombo, jikon jikon na ktk vyombo tena kukiwa giza, ukiwasha taa au kufungua mlango wanasambaa kurudi viti,makoch, kabatin na kwenye mbao za kitanda! Ilishawi tokea wife kaenda sehem wenyej ni smart na masista duu mbaya lkn hawan time na vitanda sijui walikuwa ni walalafi usiku wanang'atwa hawajielewi sjui? Ndo kuanza kuwasaidia!!

tuachane na hayo Mimi yameshawah kunikuta kiukweli nilitumia dawa nyingi sana baada kuwashtukia kuwa ndo wao wananipa vipele vimoja vimoja mgongon mi nikijua ni chunusi hapa nshang'atwa kama miez 6 hivi!!
Nenda ktk duka la dawa za mifugo,mimea au kilimo hasa duka la kilimo
nunua dawa moja inaitwa DEEP inanuka/nukia sana af pia ni sumu hata kwa binadamu, then utanunua hand sprayer Mf. Wake ni pale baada ya kunyoa saloon/babershop huwa tunapuliziwa maji fulan ya sabun.
Utachanganya maji lita 1:kifuniko 1 cha chupa ya dawa
hii dawa rangi yake kama maji lkn ina unjano kwa mbaali
ukiichanganya na maji tu inageka kuwa kama maziwa yaan nyeupe pee!
Hapo mkuu ukipuliza hata mbu akijipendekeza unamkuta chini
mimi kazi ilifanyika siku moja tu na mpaka nakuja kuoa mwaka jana sijawahi kuona hata mende ndani kwangu!!!

tumia hii dawa Mkuu utaleta feedback tu! Basi wamekulogelezea hao wadudu!!

Nashukuru sana mkuu. Iyo hand sprayer ndo tunaipata maduka yanayouza nini? Usishangae kukuuliza nipo kijijini. Mungu akubariki kwa msaada wako!
 
Aisee huyo gody amemariza kazi, hiyo dawa ni balaa ila kuwa makini kama kuna watoto wasije fikiri maziwa wakanywa. Hii dawa huwa pia wanaogeshea mifugo ie ng'ombe, mbwa nk kimsingi hakuna mdudu yoyote anayeweza kuleta jeuri ie papasi, utitiri, chawa, kunguni, mende, ng'e, mchwa, chura, buibui, mbu, tandu,panya, mjusi, sisimizi,siafu,chungu, nyigu, dondora, sungusungu, viroboto, kupe, sangara nk vile matokeo ya hii dawa ni haraka sana yaani kama kunguni ndio mwepesi sana ukipuliza tu hapingi hata hatua miguu juu,
Cha msingi chukua ngua zako zote fulia na majinya moto au zichemshe kidogo, kama ni kitanda cha mbao wanapenda kujificha kwenye changa na papi na kwenye maungio hakikisha unapulizia dawa ya kutosha. Vile vile gondoro nalo pulizia kisha anika kwenye jua kali.

Kama upo kijijini nenda kwenye maduka ya kilimo utapata hand sprayer ni bei ndogo tu.

Kama unapurizia dari na kuta rekabisha mkandamizo/pressure iwe inatoka kama mvuke, kama kwenye maungio iwe inatoka kidogo majiji iliniweze kupenya kwenye maungio.
 
Back
Top Bottom