SectionTwenty
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 674
- 604
Mkuu, hujui kitu kilichi sahihi.
Unalazimisha uonekane unajua, lakini ukweli unachojua si sahihi, na ikiwa unajua iliyosahihi basi ni kidogo sana.
bora umesema ww mkuu
Mkuu, hujui kitu kilichi sahihi.
Unalazimisha uonekane unajua, lakini ukweli unachojua si sahihi, na ikiwa unajua iliyosahihi basi ni kidogo sana.
Mkali wao, Katika mud a wa siku Tartu unetumia dawa kibao! Kweli?
Mkuu nimeshawahi kukumbana nao hao wadudu, dawa niliyotumia kuwamaliza ilikuwa dawa ya kuulia wadudu ya unga (jina limenitoka) ila ukienda duka la dawa za mifugo waambie wakupe dawa ya unga ya wadudu, ukishanunua nyunyuzia kwenye changa za kitanda, maungo yote ya kitanda (edges) na ikiwezekana kwenye godoro ila utapolilalia ligeuze, na net usishahu kuifua kwa kuiloweka kwenye maji. Na pia kama itawezekana nyunyuzia unga wa hiyo dawa eneo la chini ya kitanda ili kama kutakuwa na wadudu wapya watakapopita juu ya huo unga watakufa kwani lazima watauonja.
dah nimewamiss long time kwa maisha yetu ya kiswazi tuliokulia kunguni walikuwa hawakwepeki ni kama nyeto kwa vijana wa enzi hizo.
Wakati nasoma enzi hizo shule moja maarufu sana hapa Dar nilikuwa nakaa hostel sasa likaja hilo balaa la kunguni hivi vidudu ni vidogo lakini ni vya ajabu kwanza ni vyepesi na kuuwawa ni ishu tulivitunga majina ya bullet proof na vifodi, utafua mashuka utaanika godoro na utasafisha chumba chote hata wakibaki wawili ni kazi bure maana wanataga mayai mengi sana na vinatotolewa vitoto vingi sana kwa muda mchche, sasa hatua iliyofanyika hadi wakatoweka wote tuliwaita watu wa fumigations wakapulizia dawa vyumba vyote vya hostel hatimae wadudu wakatoweka wote.
Mkali wao, Jina lako tu dawa sasa inakuaje unaomba msaada me bado cjakuelewa mkali wao wa nini
we acha tu kunguni ni noumaaa
Nunua Actelic 300SC hii hutumika kwa kusafishia majengo na itamaliza tatizo lako kama una nyumba kubwa litre moja haizidi elfu 45 utapima mils 300 za dawa kisha unachanganya na maji lita 20. Lakini kama una chumba kimoja nunua Icon haizidi sh. 12 tatizo lako litakwisha.
Au kawaombe maujuzi wahindi manake wanauwezo wa kuvumilia chawa ndani ya vichwa vyao wala.hawana presha watakuwa wanajua kukabiliana na kunguni manake hawakosi hawa.
hahaha kumbe vichwa vya wahindi wanafuga chawa... kuna mhindi mmoja rafiki yangu nikamuona leo nitamchunguza
Na ndio maana uswazi hatuwatakii wakae hukohuko kwenye mabanda ya njiwa a.k.a magorofa.
hahahahaha baada ya kuchoma moto vipi waliisha au?
Kaka wewe umekuja kuomba ushauri unapewa ushauri unakuwa mkali
kwa kifupi hata uweke dawa ya aina gani, kama usafi ni sifuri Kunguni hawawezi kwisha, Kama ilivyo kwa Chawa, Kunguni pia maskani yake ni kwenye uchafu,
toa kila kitu nje, safisha nyumba yako vizuri, na ndio uwe utaratibu wako, kama uko busy sana, basi hakikisha angalau kila wiki uwe unapiga deki chumba chako ili kutoa vumbi lote
kaka, Kunguni hata uweke dawa gani, bila usafi ni kazi bure
Hahahaahaaa! acha uchafu alafu uwe unaoga.
watoto wakishua bhana
nishamrudishia ila ndo ivo wadudu wamehamia kwangu...