Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,113
- 1,580
Wakuu poleni na majukumu,.
Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivi ya Meno kwa muda mrefu sasa ambapo hadi sasa nimeshang'oa Meno matatu, naombeni kama kuna dawa mbadala ya kuondoa haya maumivu maana hadi sasa kuna jingine linaniuma balaa nafikiria kwenda kuling'oa, Ila yataisha....msaada tafadhilini....
Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivi ya Meno kwa muda mrefu sasa ambapo hadi sasa nimeshang'oa Meno matatu, naombeni kama kuna dawa mbadala ya kuondoa haya maumivu maana hadi sasa kuna jingine linaniuma balaa nafikiria kwenda kuling'oa, Ila yataisha....msaada tafadhilini....