Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 12,378
- 17,041
Habari JF Doctors na wadau mbalimbali,
Nina kijana wa kiume miaka 19 anasumbuliwa na maumivu ya upande mmoja wa mshipa wa sehemu za uzazi, Tatizo hili limemuanza wiki moja nyuma ambapo palianza kuvimba kidogo kidogo lakini saivi pameongezeka na maumivu anasikia makali.
Chanzo cha tatizo alidondoka alipokua mpira wa miguu anacheza na wenzake.
Naomba wenye ufahamu wa hili wanisaidie tafadhali.
Nina kijana wa kiume miaka 19 anasumbuliwa na maumivu ya upande mmoja wa mshipa wa sehemu za uzazi, Tatizo hili limemuanza wiki moja nyuma ambapo palianza kuvimba kidogo kidogo lakini saivi pameongezeka na maumivu anasikia makali.
Chanzo cha tatizo alidondoka alipokua mpira wa miguu anacheza na wenzake.
Naomba wenye ufahamu wa hili wanisaidie tafadhali.