Habari members.
Kuna jamaa yangu alinyweshwa maji ya betri na majambazi. Mungu alimsaidia hakuimeza lakini imeathiri kinywa chake. Amekua akipata shida kutafuna na kwa upande wa kuongea ulimi wake umekua mzito.
Je, kuna tunaweza kumsaidiaje ili ulimi wake urudi katika hali ya kawaida?
Natanguliza shukrani.
Kuna jamaa yangu alinyweshwa maji ya betri na majambazi. Mungu alimsaidia hakuimeza lakini imeathiri kinywa chake. Amekua akipata shida kutafuna na kwa upande wa kuongea ulimi wake umekua mzito.
Je, kuna tunaweza kumsaidiaje ili ulimi wake urudi katika hali ya kawaida?
Natanguliza shukrani.