Ommydee
Member
- May 10, 2016
- 18
- 13
- Thread starter
- #61
Hapana mkuu ela sio kitu kwny uzma wa mtu ila ilikuwa kitu kgeni kwa upande wng ndo maana nikaja huku mnipe mawazo yanayoendana na tatzo ila nashukuru sana wadau zng wa humu kwa kunipa mawazo chanyaMie bado naona kama mleta mada anataka my confirm bei ya lak 4.....je ni halali au laa . Mie nadhani tumshauri amwamini Dr wake na pia asitie hofu juu ya bei ya tiba yake....yawezekans ni tiba toka narekani wakati hizi za laki na nusu mpaka lak 2 ni zile za China na India.