NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
samahani je kama nimepata mtoto wa kwanza salama na ujauzito zaidi ya 4 zimetoka je ninawezakuchoma hiyo sindanoya ANT D na ikanisaidia?Mkeo mjamzito utasemaje hapati mimba???
Ni kuwa kwa kuwa mje ni negative na wewe positive akijifubgua anatakiwa achome sindano ya anti D, asipochoma ndio atakuwa anapoteza ujauzito na kutopata watoto
Hiyo sindano ni muhimu sana mjipange aipate