Msaada: Dada yangu anaangamia kwa ugonjwa Saratani ya Ini, damu na titi

Mkuu, huyo atakuwa na Kansa moja ila imeenea maeneo hayo, twaita metastatic cancer. Na ikifka hatua hii twaita ni Advanced.

Ni vyema ugonjwa huu utokeapo mtu uwahi mapema kutafuta solution endapo sio kansa ya ini na mapafu, maana hizi mpaka sasa hata kama ukawahi matibabu kupona ni ngumu saana.

Ushauri wangu ni huu, lisilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu lawezekana. Ombeni sana kwa Mungu. Pia Mkuu embu tafuta hiyo juice ya majani ya stafeli, awe anapewa kwa wingi.

Pia vyakula vya matunda na mboga za majani awe anatumia.

Poleni sana Wakuu, mpo hospitali gani?

Duniani twapita Mkuu, kila mtu ataondoka hapa ulimwenguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbona umechelewa kuomba ushauri? Ila kwa vile hajafa fuata ushauri huu kama utauweza.
Hapo hospitali waendelee kumpa oxygen, inasaidia kuuwa cells za kansa.

Kama anakula, simamisha kabisa vyakula vyote vya protini, maana protin ni kichocheo kikubwa cha uzalishaji wa cells, maana kuna Nitrogen kwa wingi.

Then mpe vyakula jamii ya organic fruits tu, iwe pure usiweke additives kama sugar nk. Apewe maji jamii ya kisima, sio ya chupa kwa wingi mnaweza kunusuru maisha yake, Mungu huleta uponyaji kupitia vyakula tu.

Waambie madaktari waache kumpa chemotherapy kwa sababu dawa hizo huuwa cells nzuri na mbaya za kansa, pia hizo dawa nyingine ndo zimesababisha apate kansa ya damu, yaani zimeharibu mwili kiasi cha kushindwa mwili kutengeneza damu, aongezewe damu safi kama imepungua, apewe vidonge vya madini ya chuma ili damu iongezeke, maana damu ndo ina uhai.

Ni hayo tu, usisikilize watu wajinga wanaokushauri uendelee na matibabu ya hapo hospitalini, hospitali hapo abaki kwa ajili ya oxygen na blood transfusion tu anaweza kupona.
Kinyume na nilichokuambia, jiandaeni na maziko tu. Louis II,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni sana kwa kuuguza,Mungu amjalie aweze kupona haraka,kwani hakuna kinachoshindikana kwake...
 
Mito ya siku hizi imechafuliwa, source salama ni maji ya visima virefu. Maji ya kisima nikiwa namaanisha maji hayo yana madini mengi ya asili ambayo yanatufaa sisi binadamu, maji ya chupa hayana madini. Nasema hayana madini kwa sababu madini yaliyowekwa ni ya kitengenezwa, yaani synthetic au wanasema wenyewe Fortified.

Madini hayo hayana umuhimu mwilini, yaani miili ya binadamu haitambui kitu chakula ambacho hakijatengenezwa na nature. Ili kumsaidia mgonjwa apone haraka aende kwenye natural produce tu
naomba msaada a maelezo katika hili mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mito ya siku hizi imechafuliwa, source salama ni maji ya visima virefu. Maji ya kisima nikiwa namaanisha maji hayo yana madini mengi ya asili ambayo yanatufaa sisi binadamu, maji ya chupa hayana madini. Nasema hayana madini kwa sababu madini yaliyowekwa ni ya kitengenezwa, yaani synthetic au wanasema wenyewe Fortified. Madini hayo hayana umuhimu mwilini, yaani miili ya binadamu haitambui kitu chakula ambacho hakijatengenezwa na nature. Ili kumsaidia mgonjwa apone haraka aende kwenye natural produce tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Umetoa elimu kubwa sana mkuu, ubarikiwe
 
Pole sana, kwa Mungu hakuna lisilo wezekana hufanya njia pasipona njia , na kimbilio letu, kuwa ICU si sababu ya kutofanya muujiza wake yote yanawezekana kwake yeye aminiye, fuatilia hivyo vyakula na kumuomba Mungu atende muujiza wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa ya uhakika ya kansa

dada yako aacha kula vitu vilivyopikwa kuanzia unaposoma huu uzi, pia
asile vyakula vyote vyenye sukari.

TIBA
Chukua majani ya mstafeli then yachemshe na awe ndo anakunywa kama
maji, unaweza kuweka limao ili kuleta radha, usiweke kabisa sukari na
kila siku anywe lita 2 hadi 3 za hayo maji,

2. Hii unaweza kumpa kama chakula pia kama juice chukua captus majani
yake, ule unaozaa matunda usichukue ile ya kawaida sio dawa, mimea hii
hupenda kuota kwenye milima blend na chuja juice yake mgonjwa anywe
hii. Hakika dada atapona, nakushauri kwa vile wamesema atakufa,
mwondoe hospitali mapema sana
 
mjusilizard,
Mkuu vitu hivi vinapendeza sana kama ungeweka na shuhuda,kuwa kuna mtu alishawahi kutumia na akapona na ni vizuri hata ukaweka namba yake ya simu ili waweze kuwasiliana naye iwe ni rahisi kushare experience...
 
Back
Top Bottom