Wakuu
Hili tatizo hii nisimu yangu ya tatu kunitokea.....ingawa synch iko activated....huwa inafanya synchronization lakini baada ya muda fulani unakuta zimefutika kotekote au majina hayaonekani zimebaki namba tu....nimejaribu ku google nimeona kuna watu wengi wana tatizo hili lakini hakuna solution inayoeleweka mpaka sasa,.Tatizo hili nimeliona kwenye Samsung,Techno na sasa iTel .Naombeni mssaada wenu wakuu
Hili tatizo hii nisimu yangu ya tatu kunitokea.....ingawa synch iko activated....huwa inafanya synchronization lakini baada ya muda fulani unakuta zimefutika kotekote au majina hayaonekani zimebaki namba tu....nimejaribu ku google nimeona kuna watu wengi wana tatizo hili lakini hakuna solution inayoeleweka mpaka sasa,.Tatizo hili nimeliona kwenye Samsung,Techno na sasa iTel .Naombeni mssaada wenu wakuu