Daniel Anderson
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 872
- 141
Wakuu naomba mnisaidie. Computer yangu juzi usiku ilizima ghafla wakati nikiitumia.
Ilikuwa hivi, nilikuwa natumia kutyp kazi yangu, nikataka kufungua file jingine ambalo nalo ni microsoft word (ila nadhani ndio lilikuwa na virus au vinginevyo). Hapo ndipo ikazima na haijawaka tena.
Kila ninapoiwasha, taa zinawaka kwa kukata (bliking) kwa mara tatu kisha zinazima kabisa.
Kompyuta yenyewe ni aina ya DELL laptop, model number PP08L.
Naombeni msaada wenu kuirudhsha katika hali ya kawaida. Pia hofu yangu ni kupoteza docs zangu.
Nifanyeje?
Nawasilisha
Ilikuwa hivi, nilikuwa natumia kutyp kazi yangu, nikataka kufungua file jingine ambalo nalo ni microsoft word (ila nadhani ndio lilikuwa na virus au vinginevyo). Hapo ndipo ikazima na haijawaka tena.
Kila ninapoiwasha, taa zinawaka kwa kukata (bliking) kwa mara tatu kisha zinazima kabisa.
Kompyuta yenyewe ni aina ya DELL laptop, model number PP08L.
Naombeni msaada wenu kuirudhsha katika hali ya kawaida. Pia hofu yangu ni kupoteza docs zangu.
Nifanyeje?
Nawasilisha