Sajunne Senior Member Jul 19, 2011 104 58 Sep 25, 2017 #1 Habari ya asubuhi wakuu, Nahitaji msaada wenu tafadhali, naomba kufahamishwa chuo kinachotoa kozi ya clinical medicine kwa ngazi ya cheti. Mazingira ya chuo ni lazima kiwe Dar es Salaam pia ni bora zaidi ikiwa wilaya Kinondoni/Ubungo (Mbezi beach)
Habari ya asubuhi wakuu, Nahitaji msaada wenu tafadhali, naomba kufahamishwa chuo kinachotoa kozi ya clinical medicine kwa ngazi ya cheti. Mazingira ya chuo ni lazima kiwe Dar es Salaam pia ni bora zaidi ikiwa wilaya Kinondoni/Ubungo (Mbezi beach)
Clark boots JF-Expert Member Jun 5, 2017 6,401 5,525 Sep 25, 2017 #2 Nenda KAM COLLEGE HEALTH SCIENCE
Sajunne Senior Member Jul 19, 2011 104 58 Sep 25, 2017 Thread starter #3 Shombe la Kisomali said: Nenda KAM COLLEGE HEALTH SCIENCE Click to expand... THANKS MKUU