Habari za jioni wadau wa jf, naomba kufahamishwa vyuo vinavyotoa mafunzo ya it ngazi ya cheti na stashahada. Nitafurahi mkinitajia vyuo vilivyo kanda ya ziwa na gharama za hizo couse kama hamtojali.
Asanteni wadau, ila naomba kufahamishwa zaidi kuhusu hivi vyuo vya open, nasikia mnakutana kwa mda mfupi sana ila muda mwingi unakuwa wewe mwenyewe ukiwa home. Pia naomba mnipe na gharama kama mnazifahamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.