yoga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2013
- 1,808
- 8,304
Haya wapendwa katika bwana, ndugu yenu mnisaidie sasa, weekend hii tumeongeza tv nyingine kumbe inaking'amuzi kwa ndani!!
Kuna mtu akanambia ukiweka antena zile za ndani utapata free chanels.
Nimeiwekea antena tukasearch zikaja channel list za star times zooote including hizo za free lakini sasa hazifunguki eti!! Kuna saaa inafunguka star tv, badae star gude tu
Msaada wenu sasa, na kwenye screen pale panaonesha NO CI MODULE Sa sijui nimodule ya wapi hiii msaada wenu nifanyeje nione hizo chaneli!! Kama itv, na zinginezo za hapa bongo dalisalama
Kuna mtu akanambia ukiweka antena zile za ndani utapata free chanels.
Nimeiwekea antena tukasearch zikaja channel list za star times zooote including hizo za free lakini sasa hazifunguki eti!! Kuna saaa inafunguka star tv, badae star gude tu
Msaada wenu sasa, na kwenye screen pale panaonesha NO CI MODULE Sa sijui nimodule ya wapi hiii msaada wenu nifanyeje nione hizo chaneli!! Kama itv, na zinginezo za hapa bongo dalisalama