mwanaNjilo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 277
- 195
Habari zenu wadau wa jukwaa hili!
Naomba heading ya sred ihusike!
Nimekua nikipata changamoto ya jinsi gani yakumuhakikishia mwajiri mtarajiwa juu ya kigezo cha kitaaluma cha stashahada ya juu (advanced diploma). Pengine napata changamoto hii kutokana na kutokujua mfumo rasmi wa elimu wa Tanzania una academic awards za aina gani!
Kwa mfano, mtahiniwa akimaliza elimu ya kidato cha nne (kw mtaala wa Tanzania) anakua awarded na 'Certificate of Secondary Education Examination-CSEE), Advanced Level anakua awarded na ACSEE.
NACTE wanatoa awards kuanzia NTA Level IV ambayo ni 'Cheti/astashahada'. Alafu wanatoa award kwa muhitimu wa NTA Level VI...ambayo ni stashahada (Ordinary Diploma). Baada ya hapo wanatoa award kwa muhitimu wa Shahada...yaani Bachelor's Degree nakuendelea.
Sasa, kufupisha huu mlolongo wakutaja levels za elimu na tuzo zinazotolewa kama 'Credentials' kwa waajiri. Naomba niulize swali langu, mana icho nilichokisema apo juu ni kwaajili yakuonesha ufahamu wangu mdogo kuhusu mfupo wa ku-award graduands wa Tanzania.
Swali: Kwa sababu kuna Vacant positions nyingi za serikalini zinawahitaji Holders wa Advanced Diploma katika kada mbalimbali, je ni kwanini wahitimu wasiwe-awarded na aina hiyo ya tuzo ili kuendana na uhitaji wa soko la ajira? Kwasababu, kwaninachokijua mimi, hakuna award inayotilewa na TCU kwa aliefikia NTA Level 7, ambayo kwa ufahamu wangu ndo inakua termed as ADVANCED DIPLOMA.
Kwa alienielewa, naomba anisaidia ni kwa jinsi gan naweza ku certify advanced diploma yangu kwa mwajiri mtarajiwa??
Ahsanteni wadau, in-advance!
Naomba heading ya sred ihusike!
Nimekua nikipata changamoto ya jinsi gani yakumuhakikishia mwajiri mtarajiwa juu ya kigezo cha kitaaluma cha stashahada ya juu (advanced diploma). Pengine napata changamoto hii kutokana na kutokujua mfumo rasmi wa elimu wa Tanzania una academic awards za aina gani!
Kwa mfano, mtahiniwa akimaliza elimu ya kidato cha nne (kw mtaala wa Tanzania) anakua awarded na 'Certificate of Secondary Education Examination-CSEE), Advanced Level anakua awarded na ACSEE.
NACTE wanatoa awards kuanzia NTA Level IV ambayo ni 'Cheti/astashahada'. Alafu wanatoa award kwa muhitimu wa NTA Level VI...ambayo ni stashahada (Ordinary Diploma). Baada ya hapo wanatoa award kwa muhitimu wa Shahada...yaani Bachelor's Degree nakuendelea.
Sasa, kufupisha huu mlolongo wakutaja levels za elimu na tuzo zinazotolewa kama 'Credentials' kwa waajiri. Naomba niulize swali langu, mana icho nilichokisema apo juu ni kwaajili yakuonesha ufahamu wangu mdogo kuhusu mfupo wa ku-award graduands wa Tanzania.
Swali: Kwa sababu kuna Vacant positions nyingi za serikalini zinawahitaji Holders wa Advanced Diploma katika kada mbalimbali, je ni kwanini wahitimu wasiwe-awarded na aina hiyo ya tuzo ili kuendana na uhitaji wa soko la ajira? Kwasababu, kwaninachokijua mimi, hakuna award inayotilewa na TCU kwa aliefikia NTA Level 7, ambayo kwa ufahamu wangu ndo inakua termed as ADVANCED DIPLOMA.
Kwa alienielewa, naomba anisaidia ni kwa jinsi gan naweza ku certify advanced diploma yangu kwa mwajiri mtarajiwa??
Ahsanteni wadau, in-advance!