Msaada: Bundle ya chini kabisa ya vodacom na jinsi ya kujiunga.

Radio Producer

JF-Expert Member
Feb 4, 2011
724
295
Hallo wadau,
naomba msaada nataka kujiunga na bundle ndogo kabisa ya internet ya vodacom , inaanzia na shillingi ngapi? nimeona airtel wao wako safi sana Tshs 2,500/= tu unapata MB400 mwezi mzima. naomba msaada kwa anayefahamu vodacom wao wamekaaje?
 
bundle ya chini kabisa kwa voda ni mb 20 ambayo ni shs 500 na unalipia kwa siku. Ila wana ya Mb 50 ambayo ni shs 2000 na ni siku 30.
Bonyeza *149*01# utapata maelezo ya kutosha.
 
Fuata maelezo kwa makını walıyokuambıa
 
Hallo wadau,
naomba msaada nataka kujiunga na bundle ndogo kabisa ya internet ya vodacom , inaanzia na shillingi ngapi? nimeona airtel wao wako safi sana Tshs 2,500/= tu unapata MB400 mwezi mzima. naomba msaada kwa anayefahamu vodacom wao wamekaaje?

Jibu la kweli (Honest Answer) Ndugu yangu ni kuwa achana na Vodacom. Utakuja laumu Bure!. Have a nice browsing time! Won't you?
 
Jibu la kweli (Honest Answer) Ndugu yangu ni kuwa achana na Vodacom. Utakuja laumu Bure!. Have a nice browsing time! Won't you?
mkuu inategemea na matumizi ya watu...mi siipendi sana voda ila internet yao natumia vizuri tu...bomba 30 nikiweka tunatumia office nzima (zaidi ya watu 10) kwa pamoja(nimei feed into router) na nadowload games and muvies mpaka karibu 100GB kwa mwezi (juzi tu nimemeliza ku download fifa 11<6.3GB> baada ya kumaliza kudownload muvi kama tatu hivi za 2GB kila moja ingawa natumia torrents na zinatumiamda mrefu kidogo ila napata ninachokitaka na pamja na kuwa nadowload bado watu wengine wanapata net safi tu kwa shughuli zingine za kila siku bila tatizo lolote na speed ni saaafi tu tofauti na mitandao mengine ambayo unapewa kiasi flan cha bandwith na kikiisha you are doomed!!
 
  • Thanks
Reactions: LAT
mkuu inategemea na matumizi ya watu...mi siipendi sana voda ila internet yao natumia vizuri tu...bomba 30 nikiweka tunatumia office nzima (zaidi ya watu 10) kwa pamoja(nimei feed into router) na nadowload games and muvies mpaka karibu 100GB kwa mwezi (juzi tu nimemeliza ku download fifa 11<6.3GB> baada ya kumaliza kudownload muvi kama tatu hivi za 2GB kila moja ingawa natumia torrents na zinatumiamda mrefu kidogo ila napata ninachokitaka na pamja na kuwa nadowload bado watu wengine wanapata net safi tu kwa shughuli zingine za kila siku bila tatizo lolote na speed ni saaafi tu tofauti na mitandao mengine ambayo unapewa kiasi flan cha bandwith na kikiisha you are doomed!!

nilisoma post humu humu kwamba hyo bomba 7 na 30 now ni limited download.? Inamaana sasa wameresume unlimited download data size kwa package hzo..?
 
dah natumia sasatel wananlamba kinoma,zaidi ya mara mbili nimenunua 5000 kwa 200 mbt wamesema unatumia week badala yake inaisha 1 hr.nikiwaambia wananchekea tu
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, voda ina afadhali. Kama una hofu na mambo ya bundle jaribu, bomba. Bomba 30 kwa mfano unapewa 2GB, ukimaliza unarudi kwenye 64kbps mpaka siku zako 30 ziishe. Hata hao TTCL wanaonekana nafuu wanatoa 2GB kwa mwezi bila nyongeza. Mwacheni ajaribu na kuona mwenyewe.
 
nilisoma post humu humu kwamba hyo bomba 7 na 30 now ni limited download.? Inamaana sasa wameresume unlimited download data size kwa package hzo..?

Hakuna limit ila speed inashuka ukivuka liasi fulani.
 
nilisoma post humu humu kwamba hyo bomba 7 na 30 now ni limited download.? Inamaana sasa wameresume unlimited download data size kwa package hzo..?
kama anavyosema mdau hapa chini
Hakuna limit ila speed inashuka ukivuka liasi fulani.

wameweka limit ya top speed kwa kias flani tu (i think 2GB) ila baada ya hapo unaendelea kula net kama kawaida na speed sio kama inashuka saaana ...(sio kama nawapigia debe voda) ila kwa matumizi ya kawaida ipo bomba saana tu!!
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, voda ina afadhali. Kama una hofu na mambo ya bundle jaribu, bomba. Bomba 30 kwa mfano unapewa 2GB, ukimaliza unarudi kwenye 64kbps mpaka siku zako 30 ziishe. Hata hao TTCL wanaonekana nafuu wanatoa 2GB kwa mwezi bila nyongeza. Mwacheni ajaribu na kuona mwenyewe.
na mara nyingi tu speed inazdi hata hiyo ya 64kbps...
 
Nimejaribu internet za makampuni mengi ZANTEL spidi ni nzuri ila wana limit ya bundles na masharti ya utumie muda flani wa maongezi kwenye simu kwanza kwa wale wanaotumia Highlife.TIGO ovyoo spidi na mtandao vimeoza kabisa siku hizi hakuna mtandao,AIRTEL sio poa na SASATEL spidi ni nzuri sana.

VODA kwa bundle ndogo ndogo kama cheka internet ni wizi mtupu ila HIZI BOMBA services zao ni nzuri sana ni unlimited downloads.Kujiunga BOMBA YA WIKI tuma neno BOMBA 7 kwenda 15300 kwa elfu 10 tu utapewa 750 mb kwa spidi ya ajabu kisha itapungua kidogo kwwa siku zako 7 ila ni bomba kama neno lenyewe lilivyo.Vile vile kuna Bomba 30....
 
to make things clear..ukiandika BOMBASPIDIunapewa bundle kama 1.5 gb hivi but at high speed up to 300kb/s...ila uiandika BOMBA7 unapewa 700mb at high speed then wanakuswitch at low speed(64kb/s) but unlimited downloads adi wiki iishe..voda wako cheap jaman,sema haka ka speed wanakabana so inabidi utumie torrents
 
mkuu inategemea na matumizi ya watu...mi siipendi sana voda ila internet yao natumia vizuri tu...bomba 30 nikiweka tunatumia office nzima (zaidi ya watu 10) kwa pamoja(nimei feed into router) na nadowload games and muvies mpaka karibu 100GB kwa mwezi (juzi tu nimemeliza ku download fifa 11<6.3GB> baada ya kumaliza kudownload muvi kama tatu hivi za 2GB kila moja ingawa natumia torrents na zinatumiamda mrefu kidogo ila napata ninachokitaka na pamja na kuwa nadowload bado watu wengine wanapata net safi tu kwa shughuli zingine za kila siku bila tatizo lolote na speed ni saaafi tu tofauti na mitandao mengine ambayo unapewa kiasi flan cha bandwith na kikiisha you are doomed!!

mkuu 128kbps haiwezi download hadi 100 gb kwa mwezi na ukiishare kwa watu kumi ndo kabisaaaa yani mmoja akidownload basi wengine hamtaweza hata fungua page. 128*8=1 ambayo ni sawa na 1mbps received data haiwezi ndugu.
 
mkuu 128kbps haiwezi download hadi 100 gb kwa mwezi na ukiishare kwa watu kumi ndo kabisaaaa yani mmoja akidownload basi wengine hamtaweza hata fungua page. 128*8=1 ambayo ni sawa na 1mbps received data haiwezi ndugu.
but AM DOING IT NOW...natamani ningekuhakikishia hili...
 
bundle ya chini kabisa kwa voda ni mb 20 ambayo ni shs 500 na unalipia kwa siku. Ila wana ya Mb 50 ambayo ni shs 2000 na ni siku 30.
Bonyeza *149*01# utapata maelezo ya kutosha.
Wakuu hivi hizi bundle za cheka si ni kwa mobile phone pekee?
Au nawao hawa bani kama Airtel bundle ya simu unaweza tumia kwa modem pia


Pia naomba kujua, je kunautofauti wa speed kati ya Bomba7 na SPIDI7
 
Back
Top Bottom