Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 6,742
- 13,753
Salaam wakuu,
Kama uzi unavyojieleza kwa wenye uzoefu na huu utaratibu mpya wa kusajili kampuni/jina la kampuni, nimefanikiwa kujaza details za mwanzo na kudownload consolidated form ambayo nimeweza kuisign pamoja na kuiscan.
Tatizo linakuja kwenye kuupload hii form kwenye website yao, nimeshindwa kujua ni kwa namna gani naweza kurudi na kui upload hii form.
Kwa mwenye uelewa na uwezo wa kunisaidia kwa hili msaada wa haraka unahitajika.
Natanguliza shukrani zangu.
Kama uzi unavyojieleza kwa wenye uzoefu na huu utaratibu mpya wa kusajili kampuni/jina la kampuni, nimefanikiwa kujaza details za mwanzo na kudownload consolidated form ambayo nimeweza kuisign pamoja na kuiscan.
Tatizo linakuja kwenye kuupload hii form kwenye website yao, nimeshindwa kujua ni kwa namna gani naweza kurudi na kui upload hii form.
Kwa mwenye uelewa na uwezo wa kunisaidia kwa hili msaada wa haraka unahitajika.
Natanguliza shukrani zangu.