Habari wadau,
Kwa mtaji wa Mil.30 mtu anaweza kufanya biashara ya Kuuza rangi za Nyumba akiwa Mkoani(Mwanza)?
Je, Hii ni moja kati ya Biashara nzuri kuifanya? (It pays, ina Mzunguko mzuri?) Je, kwa huo Mtaji unaweza kuuza jumla jumla?
Je, ipi njia sahihi ya kufanya biashara ya Rangi?
Kwenye Duka la Rangi, ni bidhaa gani yafaa pia kuwa nayo?
Je, kwa Dar ni wapi zinapatikana (Machimbo).
Kwa Mwenye Experience na Biashara hii, ushauri na Muongozo wake utakuwa Msaada Tafadhali.
Ikikupendeza wewe Mwenye uzoefu, tafadhali share experience ya Biashara ya Wall Putty, Gypsum boards na accessories zote za Finishing.
Nipo tayari kusoma Maoni na Ushauri
Kwa mtaji wa Mil.30 mtu anaweza kufanya biashara ya Kuuza rangi za Nyumba akiwa Mkoani(Mwanza)?
Je, Hii ni moja kati ya Biashara nzuri kuifanya? (It pays, ina Mzunguko mzuri?) Je, kwa huo Mtaji unaweza kuuza jumla jumla?
Je, ipi njia sahihi ya kufanya biashara ya Rangi?
Kwenye Duka la Rangi, ni bidhaa gani yafaa pia kuwa nayo?
Je, kwa Dar ni wapi zinapatikana (Machimbo).
Kwa Mwenye Experience na Biashara hii, ushauri na Muongozo wake utakuwa Msaada Tafadhali.
Ikikupendeza wewe Mwenye uzoefu, tafadhali share experience ya Biashara ya Wall Putty, Gypsum boards na accessories zote za Finishing.
Nipo tayari kusoma Maoni na Ushauri