Shozylin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 297
- 607
Wakuu kheri ya mwaka mpya, Nakiri kua sisi tulio humu tunatofautiana maarifa pamoja na jicho la kuiona fursa.
Mimi hapa Naomba mwongozo, Nina account "page"Facebook inayo jihusisha na maudhuhi ya michezo Sasa nimefikisha follower's laki moja 100k
Japo kua account inatumia jina la mchezaji wa ligi kuu ya Tanzania bara. NPL
Ni Biashara ipi ambayo naweza kuifanya kupitia hawa followers wangu.?
Mimi hapa Naomba mwongozo, Nina account "page"Facebook inayo jihusisha na maudhuhi ya michezo Sasa nimefikisha follower's laki moja 100k
Japo kua account inatumia jina la mchezaji wa ligi kuu ya Tanzania bara. NPL
Ni Biashara ipi ambayo naweza kuifanya kupitia hawa followers wangu.?