worms
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 964
- 893
Habari Jukwaa la Tech.
Ndugu zangu nina tatizo la betri katika simu yangu Samsung Note 3 kila baada ya miezi minne betri linakuwa limechoka mbaya halikai kabisa na chaji... nimenunua betri mpaka nimechoka hali ni tete hadi nimeanza ichukia hii simu...
Nitapataje betri nzuri? Naomba mnisaidie hata kama betri hilo itahitajika kununuliwa mtandaoni hamna shida ilimradi nipate betri imara na linalotunza sana chaji..
Kwa sasa simu yangu haimalizi masaa matatu inazima...
Mara zote nikinunua betri mpya inakuwa vema mwanzoni lakini baada ya miezi miwili inakuwa ishaanza poromoka katika ufanisi na ikifika miezi minne inakuwa sawa na kuwa na Laptop desktop( haikai kabisa na chaji).
Nisaidieni ndugu zangu najua wadau wengi pia wa samsung watakuwa wanapitia haya kwani ni kama ugonjwa wa samsung zote upande wa betri.
Karibuni sana wadau...!
Ndugu zangu nina tatizo la betri katika simu yangu Samsung Note 3 kila baada ya miezi minne betri linakuwa limechoka mbaya halikai kabisa na chaji... nimenunua betri mpaka nimechoka hali ni tete hadi nimeanza ichukia hii simu...
Nitapataje betri nzuri? Naomba mnisaidie hata kama betri hilo itahitajika kununuliwa mtandaoni hamna shida ilimradi nipate betri imara na linalotunza sana chaji..
Kwa sasa simu yangu haimalizi masaa matatu inazima...
Mara zote nikinunua betri mpya inakuwa vema mwanzoni lakini baada ya miezi miwili inakuwa ishaanza poromoka katika ufanisi na ikifika miezi minne inakuwa sawa na kuwa na Laptop desktop( haikai kabisa na chaji).
Nisaidieni ndugu zangu najua wadau wengi pia wa samsung watakuwa wanapitia haya kwani ni kama ugonjwa wa samsung zote upande wa betri.
Karibuni sana wadau...!