Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanajamvi mwenye kujua sehemu ambayo nawe
za kukodi greda la kuchonga barabara na la kushindilia anijuze tafadhali pia kama anafahamu na rate zake iwe ndani ya wilaya ya kinondoni.
Nataka la kuchonga kwanza ni kwa nusu siku au siku moja
kwa nusu siku haitawezekana .....hope wengine watajitokeza kukukodisha
Wilaya ya Kinondoni ni kubwa sana. Sema upo wapi/kazi ipo wapi exactly! Baadhi ya haya makitu hayaruhusiwi kutembea yenyewe kwenye barabara za kawaida.wanajamvi mwenye kujua sehemu ambayo naweza kukodi greda la kuchonga barabara na la kushindilia anijuze tafadhali pia kama anafahamu na rate zake iwe ndani ya wilaya ya kinondoni.
Njoo hapa Mantrac TAnzania (CATERPILLAR)watakukodishia kwa bei nzuri kama vipi ni PM
Ipo laki tisa kwa cku
Njoo hapa Mantrac TAnzania (CATERPILLAR)watakukodishia kwa bei nzuri kama vipi ni PM
kazi ni maeneo ya makongo juu.
Njoo hapa Mantrac TAnzania (CATERPILLAR)watakukodishia kwa bei nzuri kama vipi ni PM