Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Habari ndugu zangu mimi nimemaliza form comb PCB niliappy nje kwa kupitia global education na hz ndio course nilizopata je ipi course nzuri hapo?
Maana lengo langu lilikuwa na MD (DOCTOR OF MEDICINE) ila nilikusa chuo chenye ada nafuu vyote nilivyo pata walikuwa wanataka dolla si chini ya elfu 10.
Asante sana na samahan kwa usumbufu
Maana lengo langu lilikuwa na MD (DOCTOR OF MEDICINE) ila nilikusa chuo chenye ada nafuu vyote nilivyo pata walikuwa wanataka dolla si chini ya elfu 10.
Asante sana na samahan kwa usumbufu