Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

Kweli.mwisho wa dunia unakarinia badala ya mzee kumtegemea kijana, imekuwa kijana anamtemea mzee.
Malimwengu.
 
Mzee amekuzidi akili 10000 miles away...

Na akakupa dili ya udalali akiamini utajiongeza ila bado umekuwa wa hovyo.....

Ameuza hio nyumba akiamini siku akifa mtagombana sana... Na wew ungekuwa mgomvi wa kwanza...

Wewe pia sio kijana.. Ni Mzee wa hovyo.... Jitafakari kaa mezani na Baba ako mzungumze
 
HApo Mzeya chakufanya ni moja tuu...wee mpeleke mbele za haki kwa muumba maana ana roho mbaya sana huo baba yako. Alafu fanya aliyofanya yule kijana arusha....waambie kabisa polisi hamna shida ya upelelezi mie ndio nimemtoa roho sababu ikiwa ni roho mbaya ya baba
Ufe kabla ya mzee, shenzy kabisa ww
 
Mzee amekuzidi akili 10000 miles away...

Na akakupa dili ya udalali akiamini utajiongeza ila bado umekuwa wa hovyo.....

Ameuza hio nyumba akiamini siku akifa mtagombana sana... Na wew ungekuwa mgomvi wa kwanza...

Wewe pia sio kijana.. Ni Mzee wa hovyo.... Jitafakari kaa mezani na Baba ako mzungumze
Ameshindwa hata kula na dalali
 
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.

Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).

Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,

Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.

Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.

Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.
Unaumwa mavi wewe uchukue hatua gani kwani mali yako tafuta mali yako umri unaenda unawaza kusaidiwa na mzee ambaye amekulea toka mtoto hadi hivi sasa mtu mzima unaendea kuzeeka unatoa macho kwa old man aliyeishiwa nguvu kuwalea. Angalia usije kumkodia majambazi utaishia jela
 
Duuuh inasikitisha sana ila inategemea na malezi ambayo wazazi wanatulea. Mtoto anapokua mzazi anamwambia hizi mali zote mwanangu za kwako,,,mtoto badala ya kupambana kichwani anaweka mali za wazazi.

Kisheria huwezi kurithi mali za mzazi ilihali yupo hai labda awape kwa mapenzi yake.
Nakumbuka enzi hizo tunasoma wazazi walikuwa wanatuambia elimu tunayowapa ndo urithi wenu,,msitegemee kama.kuna urithi mwingine na mtu akicheza na shule shauri yake.kila mtu alipambana kusoma kwa bidii saa hizi kila mtu anamaisha yake. Wazazi wapo wanakula bata zao hakuna hata anayewaza urithi wao.
 
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni mtoto wa tatu kwenye familia.

Baba yangu alijenga DAR ES SALAAM miaka mingi iliyo pita, sasa mwezi uliopita 12/2021 alikuja na mtazamo wake na kutueleza sisi watoto wake kuwa anataka kuuza nyumba yake hii na aende akaamie kijijini na kuchagua maisha yake yote ataishi uko.

Upande wangu nilipokea ombi lake ilo kwa furaha sana maana niliona kabisa kuwa baba akiuza ntapata pesa na mimi ya kuanzia maisha, baada ya kusema ivyo nikaingia kwenye miangaiko ya kutafuta mteja na dalali ambaye atasaidia iyo nyumba iuzwe haraka, mungu si Athumani ndani ya week mbili tu akatokea mteja akiwa anaitaka iyo nyumba kwa sh milion 245 (maana nyumba ipo eneo zuri sana).

Dalali alimleta yule mteja na kuikagua nyumba nzima na eneo na uyo mteja aliahidi kuja kufanya malipo baada ya siku 3, uwezi amini nilifurahi sana sana nilikuwa na bajeti yangu ya laki 2 na elfu 70 kwa furaha nzima iyo ela niliitumia kwa kufurahia maana nilijua kabisa nimesha kula maisha. Baada ya siku 3 kweli yule mnunuzi alikuja na kufanya malipo na kukamilisha kila kitu,

Ndugu zangu nashindwa ata kuandika vizuri, baba baada ya kupokea pesa ataki ata kunishirikisha kwa chochote, hajanipa ata sent kumi yake kwenye iyo ela, baada ya siku mbili kupita mzee akiwa kimya ikabidi nimuambie baba vipi kuhusu ela ya mauzo ya nyumba unioni mwanao na mimi nikaangalie maisha yangu mbele ya safari, baba amenijibu tu kwa wepesi kabisa eti "SAWA NENDA KAANGALIE MAISHA TU, NAKUTAKIA KILA LENYE HERI" nikamuambia baba naendaje kuangalia maisha wakati ujanipa chochote, akaniambia kwani nadai nini kwake, kwa kweli ni kauli zilizo nivunja sana moyo na kunikatisha kabisa tamaa ya kuishi.

Noambeni ushauri wenu ili fate atua za kisheria mzee aweze kunipa na mimi upande wa maali kama mtoto wake wa kumzaa, maana nina week sasaivi sina furaha kabisa na aya maisha, naombeni sana ushauri wa haraka, maana baba siwezi kumtazama ata usoni ananipa sana hasira.

Matumaini yangu nitapata ushauri mzuri na wakufanya nipate aki yangu.
Kajenge ya kwako, unataka akupatie hela ili ukacheze kamari! Hupati hata senti tano, nenda kalime upate pesa yako mwenyewe!
 
Ameshindwa hata kula na dalali

Vijana wanawaza ngono tu,, wanapewa fursa wanashindwa kuzitumia....na Baba ake aliona hapo hana mtoto ana mzigo...labda amuonee huruma tu amuache aendelee kukaa kwa baba ake

Kwa kijana mafutaji yoyote ambae angeambiwa hvo na baba yake lazima angepata hela....
 
Huyu jamaa karudi tena
The return of kikoozi jamaa huwa ananivunja mbavu na thread zake kuna ile moja anaomba ushauri, anakaa kwa Kaka analala sebleni kwakuwa kuna chumba kimoja sasa kero shemeji anamuamsha asubuhi ili afanye usafi, anaomba ushauri 😂😂😂😂
 
Sisi vijana wadogo wenye umri wa miaka kuanzia 40 - 50 sijui kwanini tunanyanyasika sana 😄
 
The return of kikoozi jamaa huwa ananivunja mbavu na thread zake kuna ile moja anaomba ushauri, anakaa kwa Kaka analala sebleni kwakuwa kuna chumba kimoja sasa kero shemeji anamuamsha asubuhi ili afanye usafi, anaomba ushauri 😂😂😂😂
Hahahahaha huyu jamaa ananikumbusha Daktari wa Meno hawa watu ni chenga kabisa. Moja ya waburudishaji bora kabisa humu jukwaani
 
Back
Top Bottom