NGERESHAA
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,237
- 1,668
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza wapendwa wangu wana JF wenzangu :
Baba yangu ni mgonjwa yapata miaka mitatu,matibabu amepatiwa bila mafanikio,na anatibiwa kwa kubahatisha kwani ugonjwa haujalikani.
Ugonjwa wake ni kuanguka na kukakamaa mwili huku akisaga meno,tatizo hili humtokea baada ya mwezi au miezi miwili.
Naombeni msaada wenu wa mawazo,ushauri kujua ni tatizo gani au kama kuna mtu alisha wahi uguza mgonjwa wa hivi.
Ni zaidi ya maumivu kwangu kumwona Baba vile nisaidieni Ndugu zangu asanteni.
Baba yangu ni mgonjwa yapata miaka mitatu,matibabu amepatiwa bila mafanikio,na anatibiwa kwa kubahatisha kwani ugonjwa haujalikani.
Ugonjwa wake ni kuanguka na kukakamaa mwili huku akisaga meno,tatizo hili humtokea baada ya mwezi au miezi miwili.
Naombeni msaada wenu wa mawazo,ushauri kujua ni tatizo gani au kama kuna mtu alisha wahi uguza mgonjwa wa hivi.
Ni zaidi ya maumivu kwangu kumwona Baba vile nisaidieni Ndugu zangu asanteni.