donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
Salaam wakuu,
Straight to the point, simu yangu imeanza behavior Moja ya ajabu sana. Baadhi ya apps hazifunguki (zinazotumia internet access), kwa mfano uc browser turbo ilikua my favorite browser kwa fast downloading lakini saivi yaan hamna access kabisa mpaka nimeidownload dolphin ndio naitumia hapa.
Sijajua tatizo, nikihisi labda kitendo cha ku-upgrade kwenda ColorOS 11.1 na Android 11.1 kinaweza kuwa kimeletwa glitch kwenye system yangu. Hapa kwenyewe naandika hii thread kupitia browser ya dolphin kwa maana JF app sipati access. Msaada wakuu.
Straight to the point, simu yangu imeanza behavior Moja ya ajabu sana. Baadhi ya apps hazifunguki (zinazotumia internet access), kwa mfano uc browser turbo ilikua my favorite browser kwa fast downloading lakini saivi yaan hamna access kabisa mpaka nimeidownload dolphin ndio naitumia hapa.
Sijajua tatizo, nikihisi labda kitendo cha ku-upgrade kwenda ColorOS 11.1 na Android 11.1 kinaweza kuwa kimeletwa glitch kwenye system yangu. Hapa kwenyewe naandika hii thread kupitia browser ya dolphin kwa maana JF app sipati access. Msaada wakuu.