Msaada Apps kugoma ku-uninstall.

Kyenju

JF-Expert Member
Jun 16, 2012
4,621
1,706
Wasalaam Wakuu,

Katika simu yangu ya android kuna tatizo limenikumba leo, kuna app nimeweka lakini baadaye nikaona imesababisba kutokea mara kwa mara matangazo.

Nilipotaka kuiondoa ikagoma na kuniletea ujumbe huu: Can't uninstall because this package is an active device administrators, nimerudia mara kadhaa bado imegoma, nifanyeje kuiondoa?

Chief-Mkwawa na wadau wengine.
 
Last edited by a moderator:
Jaribu kwenda setting halafu security halafu device administrators uangalie kama ipo huko. Kama ipo itoe
 
Hongera kwa kufanikiwa kuitoa. Sasa swali langu ni kwanni ikatae wakati uli install kama apps nyingine
 
Hongera kwa kufanikiwa kuitoa. Sasa swali langu ni kwanni ikatae wakati uli install kama apps nyingine

Nilichogundua ni kuwa hii app ukiinstall kabla hujaitumia inakulazimisha uactivate, ukisha-activate ndiyo inakwenda kujificha kule.
 
Hongera kwa kufanikiwa kuitoa. Sasa swali langu ni kwanni ikatae wakati uli install kama apps nyingine

sababu ina power kubwa zaidi na umeipa ruhusa ya kufanya inachotaka. mambo yote haya huazia pale unapo install hio app, wakati wa kuinstall app inaomba ruhusa nyingi hivyo unapokubali kuiweka zile ruhusa zinakubaliwa na moja wapo ya ruhusa ni kuifanya iwe na power kama wewe (administrator).
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom