Msaada! Apache Web Server Configuration

Albedo

JF-Expert Member
Feb 24, 2008
5,559
1,452
Wataalam

Nimetengeneza Web Driven Database kwa ajili ya Ofisi yangu ambao ina wafanyakazi kama ishirini hivi. The Database is up and running. Katika plan yangu nimededicate computer moja ambayo itakuwa kama Server amabyo nimeinstall WAMP server kwa ajilli ya MySQL, PhP pamoja na Apache. Tatizo lililopo ni kuzifanya Komputa nyingine (Client) ione database hapo ndipo kwenye tatizo.

Nimebadilisha jina la server from Localhost nimeweka IP address, pot nimeacha ile ile default 80, lakini hola. Nimefanya marekebisho kwenye <Directory ya wamp/www> nikaweka Allow from all lakini hola.

Naombeni Msaada jamani

Asanteni
 
Wataalam


Nimebadilisha jina la server from Localhost nimeweka IP address, pot nimeacha ile ile default 80, lakini hola. Nimefanya marekebisho kwenye <Directory ya wamp/www> nikaweka Allow from all lakini hola.

Naombeni Msaada jamani

Asanteni

Mkuu nakushauri ukielze tatizo la kitaalam tena pale wale unaowalezea wako remote jaribu kutoa maelezo yenye msaada. Ndiyo hapo mwisho utaishiwa kupewa majibu ya bahati nasibu.
  • Mkuuu Sasa ukisema hola ina maana hiyo holla ndio error meesage client anapata akitaka kuacess server????
Vile vile jaribu kudisable firewall setting kwenye server uone kama bado itagoma. Au kwenye firewall setting ya server weka rule ya kuruhusu connection setting kutoka pC nyingine

Kujua firewall seeting na rule za wamp server tembela forum ya wamp server http://www.wampserver.com/phorum
 
Mkuu nakushauri ukielze tatizo la kitaalam tena pale wale unaowalezea wako remote jaribu kutoa maelezo yenye msaada. Ndiyo hapo mwisho utaishiwa kupewa majibu ya bahati nasibu.
  • Mkuuu Sasa ukisema hola ina maana hiyo holla ndio error meesage client anapata akitaka kuacess server????
Vile vile jaribu kudisable firewall setting kwenye server uone kama bado itagoma. Au kwenye firewall setting ya server weka rule ya kuruhusu connection setting kutoka pC nyingine

Kujua firewall seeting na rule za wamp server tembela forum ya wamp server - PHP, Apache, MySQL, Windows : WampServer


Mkuu Naposema hola I just mean kwamba Connection inakataa na message inayokuja inaonesha kwamba cannot find the server, ngoja nijaribu ushauri wako then I will come back

Thanx
 
Mkuu Naposema hola I just mean kwamba Connection inakataa na message inayokuja inaonesha kwamba cannot find the server, ngoja nijaribu ushauri wako then I will come back

Thanx
yah kwa kudesa kwenye forum ya wamp

nadhni tatizo litakuwa la security Kama sio firewaal basi file au folder la WWW inabdi liwe kwanza shared la alafu liwe na rights stahiki kwa remote user wote. I just feel ni security issue ya windows kama sio firewall.

Madesa niliyosoma so far hayako mbali na kile nilichoandika Mwanzo. Soma thread hizi mbili kuna wachangiaji wanaeleka kutoa muafaka hasa kuhusiana na firewal setting
- PHP, Apache, MySQL, Windows : WampServer
- PHP, Apache, MySQL, Windows : WampServer
 
Nashukuru wandugu kwa Michango yenu maana nilifanikosha kazi yangu na Mungu awabiriki sana
 
Nashukuru wandugu kwa Michango yenu maana nilifanikosha kazi yangu na Mungu awabiriki sana

Albedo unaweza kushare nasi sasa ulifanikisha vipi ili tuelimike nini kilifanikisha ili tuweke kwenye kumbukumbu . na tukikutana tatizo kama hilo tusianze kubahatisha bahatisha
 
Albedo unaweza kushare nasi sasa ulifanikisha vipi ili tuelimike nini kilifanikisha ili tuweke kwenye kumbukumbu . na tukikutana tatizo kama hilo tusianze kubahatisha bahatisha

1. Nilibadilisha machine badala ya kuhost kwenye windows 7 nikahost kwenye Windows XP ambayo kwangu imekuwa rahisi sana kuconfigure Firewall ikiwa ni pamoja na kuadd port. Windows 7 imenisumbua kidogo na ninaona kama haiko user friend
2. Default port ya Apache ni 80. Bahati mbaya katika computer yangu kuna skype ambayo na yenyewe inatumia port 80 kwa hiyo skype ikianza tu kabla ya Apache basi apache inanyimwa access. Kitu nilichokifanya ni kuifanya Apache ianze automatically during startup kwa hiyo skye ikiwaka inakuta Apache tayari imeshaocupy port 80

3. Kwenye apache config file, default setting za <Directory> zilisema Denny from all, nikabadilisha nikasema All from all

Asanteni sana

Ingawa bado nina challenge moja. IP address zetu ni dyanimic allocated sasa kila siku inabidi nibadilishe Host Name kulingana na IP ambayo Server PC imekuwa alocated that day. Nimejaribu ku extend IP Lease time kwa siku 7 lakini inajireset inakuwa siku moja
 
1. Nilibadilisha machine badala ya kuhost kwenye windows 7 nikahost kwenye Windows XP ambayo kwangu imekuwa rahisi sana kuconfigure Firewall ikiwa ni pamoja na kuadd port. Windows 7 imenisumbua kidogo na ninaona kama haiko user friend
2. Default port ya Apache ni 80. Bahati mbaya katika computer yangu kuna skype ambayo na yenyewe inatumia port 80 kwa hiyo skype ikianza tu kabla ya Apache basi apache inanyimwa access. Kitu nilichokifanya ni kuifanya Apache ianze automatically during startup kwa hiyo skye ikiwaka inakuta Apache tayari imeshaocupy port 80

3. Kwenye apache config file, default setting za <Directory> zilisema Denny from all, nikabadilisha nikasema All from all

Asanteni sana

Ingawa bado nina challenge moja. IP address zetu ni dyanimic allocated sasa kila siku inabidi nibadilishe Host Name kulingana na IP ambayo Server PC imekuwa alocated that day. Nimejaribu ku extend IP Lease time kwa siku 7 lakini inajireset inakuwa siku moja

Thank mkuu mkubwa sana nimeelimika hapo

Lakini kwani kwenye dyanamic IP configuration si kuna option ya ku set IP fulani zibaki kuwa static. Hiyo option ipo kwenye router na DHCP configuration nyingi ili kuwezesha server ziendele umatin IP zake na kuondoa usumbufu.

So cheki vizuri DHCP configuration yako kwenye router . I hope hapo setting zote za DHCP kwa case yako ndipo zilipo.Au google aina ya router unayotumia ujue jinsi ya kuichakachua . Nina uhakika kuna option hiyo ya kufanya baadhi ya ip ziwe static.
 
Thank mkuu mkubwa sana nimeelia hapo

Lakini kwani kwenye dyanamic IP configuration si kuna option ya ku set IP fulani zibaki kuwa static. Hiyo option ipo kwenye router na DHCP configuration nyingi ili kuwezesha server ziendele umatin IP zake na kuondoa usumbufu.

So cheki vizuri DHCP configuration yako kwenye router . I hope hapo setting zote za DHCP kwa case yako ndipo zilipo.Au google aina ya router unayotumia ujue jinsi ya kuichakachua . Nina uhakika kuna option hiyo ya kufanya baadhi ya ip ziwe static.

Asante sana Mkuu Nitacheki nikifanikiwa itakuwa poa sana maana that is main obstacle remained
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom