Msaada: Anayenunua fedha za kale (rupia)

Mdugo

Member
Nov 17, 2017
55
37
Samahani wadau....

Naomba kujuzwa mahala au mtu anayenunua mazaga hayo ya kale. Pia, unaweza nivheki PM tukayajenga.
Natanguliza shukrani
 
Kama kweli unazo hizo sarafu inasemekana zina madini ya kutosha tembelea sehemu wanakochakata madini/mikufu n.k upige pa. Hapa tytakuonakama tapeli tu
 
Nenda posta ya zamani kuelekea TASSAC jamaa wapo wanauza na kununua.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom