spleeingiant
Senior Member
- Oct 24, 2016
- 138
- 44
Habari zenu wanajamii nahitaji msaada wenu kuna hii issue ya internet kwa vpn anaejua msaada tafadhari...
Wewe unajua ya mtandao upi?Habari zenu wanajamii nahitaji msaada wenu kuna hii issue ya free internet kwa airtel ttcl na halotel kwa vpn anaejua msaada tafadhari...
Hamna nayojua ndo maana niakomba msaada maana naona wengi wanatumia airtel kwa France server kwa premium ssh fileWewe unajua ya mtandao upi?
Naona umetaja aittel, ttcl na halotel.Habari zenu wanajamii nahitaji msaada wenu kuna hii issue ya free internet kwa airtel ttcl na halotel kwa vpn anaejua msaada tafadhari...
Kwahiyo zipo zakulipia n unapata ya mwezi ??Naona umetaja aittel, ttcl na halotel.
Naona unajua voda na tgo eeeh ...
Huwez kupata vitu vya bure humu
Unless utangaze dau au utoe hzo za voda na tgo
Kuna mtu humuhumu anahost tunnel kwa mwez buku 9 ka sjakosea.Kwahiyo zipo zakulipia n unapata ya mwezi ??
unaweza kutueleza utaratibu wa kulipia na kwa link zipHkn kitu cha bure hata utumiaji wa vpn tu lazma ulipie
wewe una idea na unajua link zip zina host na kulipia? na pia unajua kuhusu tigo na voda inakuaje?Naona umetaja aittel, ttcl na halotel.
Naona unajua voda na tgo eeeh ...
Huwez kupata vitu vya bure humu
Unless utangaze dau au utoe hzo za voda na tgo
Nikupe idea moja. Kwanza sidhani kama utapata hilo jibu hapa. Hawa wanaojua wanafanya biashara, wakikuambia wanapoteza mteja kwako.Habari zenu wanajamii nahitaji msaada wenu kuna hii issue ya free internet kwa airtel ttcl na halotel kwa vpn anaejua msaada tafadhari...
Inayoonekana wewe ndo mtaalam mwenyewe. Niku-pm?Nikupe idea moja. Kwanza sidhani kama utapata hilo jibu hapa. Hawa wanaojua wanafanya biashara, wakikuambia wanapoteza mteja kwako.
Hii kitu nilishaisikia. Ila ukiangali ufundi wake, ni kwamba mpaka kupata hiyo free int*rnet kwa ssh na VPN, unatakiwa kuwa na proxy pamoja na free ports. Kwa mfano now, Airt*l wana free Facebook. Hii ni loophole, wewe kazi ni kutafuta free ports. Ukishapata unatimia tunneling tools(zipo kibao). Unaitaji kuconfigure hizi tools(shida iko hapa na mpaka hawa wanao uza hawaambiani). Ukimaliza unalipia server ya ssh au VPN, inategemea na brandwith ila ni cheap kama $16/month(nothing is free ). Wewe ukimaliza issue zote. Unaweza browse, Airt*l wataona unaaccess Facebook(free) kumbe unafungua Youtube. Hiyo ssh/VPN inakufanya anonymous. Sasa wewe unafanya biashara, unarudisha hiyo $16 unapouzia watu, kwasababu unaweza create accounts kibao.
I hope sija expose your tricks, nimeongelea kwa juu sana. Ila this was educational. Binafsi mimi sifanyi hii issue, ila napenda kujifunza tu.
-callmeGhost
Hilo neno FREE futa,Habari zenu wanajamii nahitaji msaada wenu kuna hii issue ya free internet kwa airtel ttcl na halotel kwa vpn anaejua msaada tafadhari...
Hao airtel hawapo humu jf?Nikupe idea moja. Kwanza sidhani kama utapata hilo jibu hapa. Hawa wanaojua wanafanya biashara, wakikuambia wanapoteza mteja kwako.
Hii kitu nilishaisikia. Ila ukiangali ufundi wake, ni kwamba mpaka kupata hiyo free int*rnet kwa ssh na VPN, unatakiwa kuwa na proxy pamoja na free ports. Kwa mfano now, Airt*l wana free Facebook. Hii ni loophole, wewe kazi ni kutafuta free ports. Ukishapata unatimia tunneling tools(zipo kibao). Unaitaji kuconfigure hizi tools(shida iko hapa na mpaka hawa wanao uza hawaambiani). Ukimaliza unalipia server ya ssh au VPN, inategemea na brandwith ila ni cheap kama $16/month(nothing is free ). Wewe ukimaliza issue zote. Unaweza browse, Airt*l wataona unaaccess Facebook(free) kumbe unafungua Youtube. Hiyo ssh/VPN inakufanya anonymous. Sasa wewe unafanya biashara, unarudisha hiyo $16 unapouzia watu, kwasababu unaweza create accounts kibao.
I hope sija expose your tricks, nimeongelea kwa juu sana. Ila this was educational. Binafsi mimi sifanyi hii issue, ila napenda kujifunza tu.
-callmeGhost
Nikupe idea moja. Kwanza sidhani kama utapata hilo jibu hapa. Hawa wanaojua wanafanya biashara, wakikuambia wanapoteza mteja kwako.
Hii kitu nilishaisikia. Ila ukiangali ufundi wake, ni kwamba mpaka kupata hiyo free int*rnet kwa ssh na VPN, unatakiwa kuwa na proxy pamoja na free ports. Kwa mfano now, Airt*l wana free Facebook. Hii ni loophole, wewe kazi ni kutafuta free ports. Ukishapata unatimia tunneling tools(zipo kibao). Unaitaji kuconfigure hizi tools(shida iko hapa na mpaka hawa wanao uza hawaambiani). Ukimaliza unalipia server ya ssh au VPN, inategemea na brandwith ila ni cheap kama $16/month(nothing is free ). Wewe ukimaliza issue zote. Unaweza browse, Airt*l wataona unaaccess Facebook(free) kumbe unafungua Youtube. Hiyo ssh/VPN inakufanya anonymous. Sasa wewe unafanya biashara, unarudisha hiyo $16 unapouzia watu, kwasababu unaweza create accounts kibao.
I hope sija expose your tricks, nimeongelea kwa juu sana. Ila this was educational. Binafsi mimi sifanyi hii issue, ila napenda kujifunza tu.
-callmeGhost
nafutaje na ku delete inakuaje maana sioni optionHilo neno FREE futa,
kwa nini? so kuiondoa inakuaje?Hizi nyuzi zingine zinaleta machafuko ya hewa
Nikupe idea moja. Kwanza sidhani kama utapata hilo jibu hapa. Hawa wanaojua wanafanya biashara, wakikuambia wanapoteza mteja kwako.
Hii kitu nilishaisikia. Ila ukiangali ufundi wake, ni kwamba mpaka kupata hiyo free int*rnet kwa ssh na VPN, unatakiwa kuwa na proxy pamoja na free ports. Kwa mfano now, Airt*l wana free Facebook. Hii ni loophole, wewe kazi ni kutafuta free ports. Ukishapata unatimia tunneling tools(zipo kibao). Unaitaji kuconfigure hizi tools(shida iko hapa na mpaka hawa wanao uza hawaambiani). Ukimaliza unalipia server ya ssh au VPN, inategemea na brandwith ila ni cheap kama $16/month(nothing is free ). Wewe ukimaliza issue zote. Unaweza browse, Airt*l wataona unaaccess Facebook(free) kumbe unafungua Youtube. Hiyo ssh/VPN inakufanya anonymous. Sasa wewe unafanya biashara, unarudisha hiyo $16 unapouzia watu, kwasababu unaweza create accounts kibao.
I hope sija expose your tricks, nimeongelea kwa juu sana. Ila this was educational. Binafsi mimi sifanyi hii issue, ila napenda kujifunza tu.
-callmeGhost
Wewe utatusaidia sana kupata dataNikupe idea moja. Kwanza sidhani kama utapata hilo jibu hapa. Hawa wanaojua wanafanya biashara, wakikuambia wanapoteza mteja kwako.
Hii kitu nilishaisikia. Ila ukiangali ufundi wake, ni kwamba mpaka kupata hiyo free int*rnet kwa ssh na VPN, unatakiwa kuwa na proxy pamoja na free ports. Kwa mfano now, Airt*l wana free Facebook. Hii ni loophole, wewe kazi ni kutafuta free ports. Ukishapata unatimia tunneling tools(zipo kibao). Unaitaji kuconfigure hizi tools(shida iko hapa na mpaka hawa wanao uza hawaambiani). Ukimaliza unalipia server ya ssh au VPN, inategemea na brandwith ila ni cheap kama $16/month(nothing is free ). Wewe ukimaliza issue zote. Unaweza browse, Airt*l wataona unaaccess Facebook(free) kumbe unafungua Youtube. Hiyo ssh/VPN inakufanya anonymous. Sasa wewe unafanya biashara, unarudisha hiyo $16 unapouzia watu, kwasababu unaweza create accounts kibao.
I hope sija expose your tricks, nimeongelea kwa juu sana. Ila this was educational. Binafsi mimi sifanyi hii issue, ila napenda kujifunza tu.
-callmeGhost
umeongea kidogo likini nimekuerewa sana mkuu maana mimi nilisha tumia ya mtu alafu kwa sasa aifanyi kaziNikupe idea moja. Kwanza sidhani kama utapata hilo jibu hapa. Hawa wanaojua wanafanya biashara, wakikuambia wanapoteza mteja kwako.
Hii kitu nilishaisikia. Ila ukiangali ufundi wake, ni kwamba mpaka kupata hiyo free int*rnet kwa ssh na VPN, unatakiwa kuwa na proxy pamoja na free ports. Kwa mfano now, Airt*l wana free Facebook. Hii ni loophole, wewe kazi ni kutafuta free ports. Ukishapata unatimia tunneling tools(zipo kibao). Unaitaji kuconfigure hizi tools(shida iko hapa na mpaka hawa wanao uza hawaambiani). Ukimaliza unalipia server ya ssh au VPN, inategemea na brandwith ila ni cheap kama $16/month(nothing is free ). Wewe ukimaliza issue zote. Unaweza browse, Airt*l wataona unaaccess Facebook(free) kumbe unafungua Youtube. Hiyo ssh/VPN inakufanya anonymous. Sasa wewe unafanya biashara, unarudisha hiyo $16 unapouzia watu, kwasababu unaweza create accounts kibao.
I hope sija expose your tricks, nimeongelea kwa juu sana. Ila this was educational. Binafsi mimi sifanyi hii issue, ila napenda kujifunza tu.
-callmeGhost