Msaada anaejua bei ya miti nataka kuivuna

Kamgomoli

JF-Expert Member
May 3, 2018
1,865
3,800
Wakuu habari ya Jumapili,miaka 7 iliyopita nilinunua miti aina ya Pine heka 4 Wilaya ya Mufindi. Kwasasa miti ina miaka 13. Wazoefu wameniambia tayari imekomaa na naweza kuivuna. Mi niko mbali na sjui bei ya sasa ni Sh.ngapi kwa heka.

Naomba mtu ambae ni mzoefu wa biashara ya mbao anisaidie ili wajanja wasinipige.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu biashara ya mbao na misitu inahitaji uzoefu, kama ulinunua mwenyew ungeweza kuchana hata wewe mwenyewe, bei hua inategemeana na umri wa miti pamoja na mteja akifika akiiona size ya miti.

Manake inaweza kuwa michache halafu minene, au miti mingi lakin myembamba, na kuangalia mti mmja unatoa pingili ngap hapo mnaweza kuafikiana bei, na wakati wa kuuziana ni vizuri ukawepo.
 
Bei ya miti inatofautiana kutokana na umbali wa shamba lako liliko,ungetuambia kijijin gan ungeambiwa mkuu,bei ya mapanda tofaut na luganga
Wakuu habari ya Jumapili,miaka 7 iliyopita nilinunua miti aina ya Pine heka 4 Wilaya ya Mufindi. Kwasasa miti ina miaka 13. Wazoefu wameniambia tayari imekomaa na naweza kuivuna. Mi niko mbali na sjui bei ya sasa ni Sh.ngapi kwa heka. Naomba mtu ambae ni mzoefu wa biashara ya mbao anisaidie ili wajanja wasinipige.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu biashara ya mbao na misitu inahitaji uzoefu, kama ulinunua mwenyew ungeweza kuchana hata wewe mwenyewe, bei hua inategemeana na umri wa miti pamoja na mteja akifika akiiona size ya miti, manake inaweza kuwa michache halafu minene, au miti mingi lakin myembamba, na kuangalia mti mmja unatoa pingili ngap hapo mnaweza kuafikiana bei, na wakati wa kuuziana ni vizuri ukawepo.
Kwa mtu wa miaka 13 kawaida Bei Ni sh 10000 mpaka 15000.. Lakini inaweza kupungua kutokana na umbali shamba lilipo na barabara.. Mzee hongera Sana umekuza na umepambana na changamoto za ajali za Moto mzee
 
Kwa mtu wa miaka 13 kawaida Bei Ni sh 10000 mpaka 15000.. Lakini inaweza kupungua kutokana na umbali shamba lilipo na barabara.. Mzee hongera Sana umekuza na umepambana na changamoto za ajali za Moto mzee
Yani mti miaka mi13 bei 10000 had 15000 alafu ubao mmoja mnakuja kutuuzia 15000. Haa kweli bongo bora ukawa dalali kuliko mkulima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulinunua miti iliyopandwa umbali wa mita ngapi mti mpaka mti? Kwa miti ya miaka 13 inaweza simama kwa bei ya 10,000. mpaka 15,000. kama ilipandwa kitaalamu na udongo mzuri.
 
kwa upande wangu ningekushauri ukakodi mashine upasue mbao mwenyewe then uje uuze dsm, kuuza miti utaambulia hasara tuu.
 
Kama vp njoo mi nikukatie na nikupasulie ili uuze mbao na kama uko vizuri na soko nitakulengesha mwenyewe. Soko la uhakika sana. Mwisho wa mchongo mi unanilipa kwa mashine zilizofanya kazi.
 
Wakuu habari ya Jumapili,miaka 7 iliyopita nilinunua miti aina ya Pine heka 4 Wilaya ya Mufindi. Kwasasa miti ina miaka 13. Wazoefu wameniambia tayari imekomaa na naweza kuivuna. Mi niko mbali na sjui bei ya sasa ni Sh.ngapi kwa heka.

Naomba mtu ambae ni mzoefu wa biashara ya mbao anisaidie ili wajanja wasinipige.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uzofu wangu mfindi aridhi yake ni nzuri sana kwa miti

Miti yenye miaka 13 itakuwa mizuri sana

Chakufanya hapo umeshapata mwanga wa bei .. Miti mnunuzi ndiye anayekuongoza kwenye bei

Mimi ambaye sijaiona ni ngumu kukupa bei
Wakwanza kasema 20m apelekwe mwingine anza na 35m yeye atasema bei anayoweza kulipa mwisho utapata bei ya kuuza

Nb usijaribu kuchana ili uuze mbao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uzofu wangu mfindi aridhi yake ni nzuri sana kwa miti

Miti yenye miaka 13 itakuwa mizuri sana

Chakufanya hapo umeshapata mwanga wa bei .. Miti mnunuzi ndiye anayekuongoza kwenye bei

Mimi ambaye sijaiona ni ngumu kukupa bei
Wakwanza kasema 20m apelekwe mwingine anza na 35m yeye atasema bei anayoweza kulipa mwisho utapata bei ya kuuza

Nb usijaribu kuchana ili uuze mbao

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu nathamini mawazo yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom