Dawa ya Amytripilineam inaongeza depression?

Tuttyfruity

JF-Expert Member
Dec 3, 2017
2,405
6,281
Hello JF, nina mdogo wangu mwenye umri 20+ anasumbuliwa na depression & suicidal thoughts karibu mwaka sasa. Tulimpeleka kwa therapist, anafanyiwa therapy lakini pia aliandikiwa dawa aina ya Amytripilineam awe anakunywa mara moja kwa siku (usiku).

Lakini sasa naona kama hali yake inazidi kuwa mbaya, anakuwa very emotional kitu kidogo kinamliza sana plus suicidal thoughts zimeongezeka, kuna siku alibugia vidonge 20 vya Amytripilineam tukampeleka hospitali. Ukimuuliza kwanini anameza zote anajibu eti amechoka anataka kulala.

Je inawezekana hizi dawa hazimsaidii au ndo zina side effects? Je kuna dawa mbadala na hizi?

Naombeni msaada wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Common amitriptyline side effects may include:
  • constipation, diarrhea;
  • nausea, vomiting, upset stomach;
  • mouth pain, unusual taste, black tongue;
  • appetite or weight changes;
  • urinating less than usual;
  • itching or rash;
  • breast swelling (in men or women); or.
  • decreased sex drive, impotence, or difficulty having an orgasm.
 
Mwambie aachane na hiyo dawa mara moja.. Badala yake anywe maziwa kwa wingi (angalau lita kwa cku) na vidonge vya Vitamin B complex viwili kwa cku.. So far mpelekeni akapimwe kisukari.
 
Kitu gani kimepelekea awe katika hali hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana hawa wana mambo mengi. Ni common stuff kama kutokupita kwenye interview, kuwa jobless, kuachwa yani chochote negative kinachomtokea kinamfanya awe very emotional. Anashindwa kuhimili mikiki ya maisha. Natamani nimsaidie. Najaribu kumweleza kua tunampenda na bado tunamuhitaji pamoja nasi kidogo anakuja kuja lakini bado anaonekana hayupo sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana hawa wana mambo mengi. Ni common stuff kama kutokupita kwenye interview, kuwa jobless, kuachwa yani chochote negative kinachomtokea kinamfanya awe very emotional. Anashindwa kuhimili mikiki ya maisha. Natamani nimsaidie. Najaribu kumweleza kua tunampenda na bado tunamuhitaji pamoja nasi kidogo anakuja kuja lakini bado anaonekana hayupo sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtafutie mwanaume amkaze
 
Mkuu pole sana kwa kuuguza,nilipatwa na hiyo hali bahati sikuwa na mtu wa kunifariji sababu ya usiri wangu,nilibakiza kidogo nijurushe toka ghorofani nilipokuwa muhimbili Hosp. Lakini ujasiri ulinijaa tena,nini kiliniponya,? Nilitumia Hosp.medicine bila mafanikio nikaja saidiwa na mitishamba ,nilitumia mlonge kutwa Mara tatu kwa mwezi,na sasa Niko ngangali sana

Hebu jaribu kutumia hiyo mlonge kijiko kimoja cha chain kutwa Mara tatu kwa mwezi mmoja huenda akapona kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole sana kwa kuuguza,nilipatwa na hiyo hali bahati sikuwa na mtu wa kunifariji sababu ya usiri wangu,nilibakiza kidogo nijurushe toka ghorofani nilipokuwa muhimbili Hosp. Lakini ujasiri ulinijaa tena,nini kiliniponya,? Nilitumia Hosp.medicine bila mafanikio nikaja saidiwa na mitishamba ,nilitumia mlonge kutwa Mara tatu kwa mwezi,na sasa Niko ngangali sana

Hebu jaribu kutumia hiyo mlonge kijiko kimoja cha chain kutwa Mara tatu kwa mwezi mmoja huenda akapona kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole sana kwa kuuguza,nilipatwa na hiyo hali bahati sikuwa na mtu wa kunifariji sababu ya usiri wangu,nilibakiza kidogo nijurushe toka ghorofani nilipokuwa muhimbili Hosp. Lakini ujasiri ulinijaa tena,nini kiliniponya,? Nilitumia Hosp.medicine bila mafanikio nikaja saidiwa na mitishamba ,nilitumia mlonge kutwa Mara tatu kwa mwezi,na sasa Niko ngangali sana

Hebu jaribu kutumia hiyo mlonge kijiko kimoja cha chain kutwa Mara tatu kwa mwezi mmoja huenda akapona kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Buku 7 ilisaidia kulipa gharama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi ningekushauri umtafutie mdogo wako..kitu cha kufanya awe occupied asiwe na suicidal thoughts..mlivyoenda kutafuta msaada,nadhani hamkuambiwa kuwa sio dawa pekee ndiyo effective ya kutibu tatizo la mdogo wako,kuna combination ya dawa na other therapies..angalia daily activities structure yake...kama kuna gaps kuna wakati anakaa idle then badilisha,mfanye busy..hata kwa kumshirikisha shughuli ndogo ndogo au anzisha utaratibu wa kufanya mazoezi..tena hii itamsaidia kuchoka physically na kupata usingizi naturally bila kutaka dawa za kumfanya 'apumzike' kama anavyodai…...kingine ni kutafuta small but achievable goals..mfano unaweza ukamtafutia course ya miezi mitatu mfano computer course ambayo kama akimaliza successful itampa confidence ya ku pursue other interests..
 
Ukiangalia una mahitaji mengi, malengo halafu huoni matumaini ya kukidhi mahitaji yako ndio mawazo haya hufika.
Mtafutieni Kazi ya kufanya awe bize tena iwe ya kuchangamana na wenzake. Kama ikiwa ngumu..Hakikisheni mnamoa pocket money regularly.

Angalieni hobbies zake ni zipi, Kilevi chake ni kipi kisha hakikisheni anamudu kwenda kwenye sehemu anazopata vilevi vyake/Entertainment yake.
Lastly hakikisheni anapata mpenzi wa kua nae karibu.
Nasema haya kama Experienced Expert
 
Mafuta ya samaki ni mazuri sana sana kwa afya ya ubongo (fish oil) tafuta mpe awe anakunywa asubuhi Mchna na jioni dozi wameandika kwenye box, utanishukuru baadaye.... Poleni sana
 
Back
Top Bottom