Erick Richard R-Madrid
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 399
- 279
Wakuu kwema, habari za weekend kwa ujumla. Poleni na majukumu pia.
Nataka Kuagiza mzigo kutoka China kupitia Kampuni ya FedEx Tanzania mwenye uelewa wa namna ya kuweza kunijuza kdogo process yake inakuaje kuanzia unapofanya manunuzi mtandaoni hadi mzigo kunifikia nilipo (Tanzania).
Hasa napata changamoto namna ya kulipa kutokea kule, gharama za usafiri namlipa yule ambaye nanunua mzigo kutokea kwake au kwa kampuni ya FedEx yenyewe? Na kama ndo hvo nalipia kwa Kampuni nawezaje kuwalipa FedEx waweze kunitumia mzigo na kuupata nchini?
Ntashukuru sana kwa majibu yenu ya kunijenga. Asanteni.
Nataka Kuagiza mzigo kutoka China kupitia Kampuni ya FedEx Tanzania mwenye uelewa wa namna ya kuweza kunijuza kdogo process yake inakuaje kuanzia unapofanya manunuzi mtandaoni hadi mzigo kunifikia nilipo (Tanzania).
Hasa napata changamoto namna ya kulipa kutokea kule, gharama za usafiri namlipa yule ambaye nanunua mzigo kutokea kwake au kwa kampuni ya FedEx yenyewe? Na kama ndo hvo nalipia kwa Kampuni nawezaje kuwalipa FedEx waweze kunitumia mzigo na kuupata nchini?
Ntashukuru sana kwa majibu yenu ya kunijenga. Asanteni.