Angelo Kabanda
Member
- May 27, 2017
- 21
- 5
Salamu kwenu
Mimi ni mmoja wa waliokosa mkopo heslb
Naomba kuuliza kwa mnufaika yeyote WA mkopo toka heslb anijuze au anishauri niombe au laah
Mimi ni mmoja wa waliokosa mkopo heslb
Naomba kuuliza kwa mnufaika yeyote WA mkopo toka heslb anijuze au anishauri niombe au laah