Almalik mokiwa
Senior Member
- Jun 5, 2020
- 147
- 157
Yanaenda mungu anasaidia.Vipi mnaendeleaje na Masomo Dogo?
Nimeamua kukaa kimya kwa muda...Bado hutoi such Vacancy???
Namaanisha kuwa, uwasilishaji ama uandishi wako hauko wazi.
NimekupataNamaanisha kuwa, uwasilishaji ama uandishi wako hauko wazi.
Baadhi ya maneno umeyafupisha fupisha, umechanganya lugha kiasi cha kupelekea ugumu kwa mtu mwingine kung'amua hilo tatizo lako ili apate kukusaidia.
Pia, ingekuwa vyema kama ungezingatia matumizi ya aya katika uwasilishaji wako.
NashkuruKule Jecha Kashindwa Kutaja Mwaka Kwa Usahihi
Simama Eneo Lako Vema Huyo Alishaolewa Acha Aende
Salaam Haitii Mimba, Endelea Kusalimiana Naye
Acha Aumie Kwanza
Siku Nyingine Atajifunza
FactHuyo atakutafutia matatizo. Na kubwa kuku destruct ili usi concentrate na masomo. Just ignore her.
Simple.
Nimesishia hapo uliposema upo kidato cha sita.
Mimi napenda kukisihi usome sana dogo, soma sana dogo. Wekeza nguvu na akili kwenye masomo na kumjua Mungu na kuzishikia sheria na amri zake ni ulinzi kwako hazikubani wala kukunyima uhuru.